mponjoly
Member
- Oct 4, 2009
- 33
- 1
kwanza inaonekana kama ni wewe ndo unahitaji ushauri!! lakini poa, kwa sababu mi naamini wanaume karibu wote kama sio wote wanapiga nyeto mida fulani!!kikawaida kupiga nyeto hakuna madhara kiafya labda kisaikolojia, utakuwa ujiamini unapofanya mapenzi na msichana!kikawaida inasemekana madaktari wanashauri kama mvulana hana msichana wa kufanya nae mapenzi au hata zile ndoto za usiku hazipoafadhali upige kidogo nyeto angalau mara 2 kwa wiki!!
mshauri rafiki yako kujiweka busy mara tu anapofikiria kupiga nyeto, labda anapokuwa peke yake aende akajimix na watu!!mi nilikuwa napiga ila si ya kupitiliza!!
mshauri rafiki yako kujiweka busy mara tu anapofikiria kupiga nyeto, labda anapokuwa peke yake aende akajimix na watu!!mi nilikuwa napiga ila si ya kupitiliza!!