Sildenafil Citrate

JF-Expert Member
Jan 29, 2021
573
2,553
Polisi wamekataza mikutano yetu ya hadhara Ngorongoro. Juzi Serikali ya Samia imekataza wabunge wa Ulaya kutembelea eneo hilo. Wanaficha kitu gani? Licha ya jitihada za Serikali, Ngorongoro sio gereza & Wamaasai sio wafungwa wa gereza hilo. Sisi tutakuwa Ngorongoro kuanzia kesho!

Tundu Lissu
Mtandao wa X
===
IMG_8434.jpeg
Tunapenda kukufahamisha kuwa barua yako tajwa tumeipokea ikiwa na maudhui ya kufanya vikao vya ndani na mikutano ya hadhara maeneo ya kata 3 zizopo tarafa ya Loliondo na kata 3 zilizopo tarafa ya Ngorongoro.

Hata hivyo tarafa ya Ngorongoro ni eneo la Hifadhi ya Mamlaka ya Ngorongoro na kwamba kuingia na kutoka eneo hilo ni sharti kufuata taratibu zinazosimamia eneo hilo (kupata kiball kutoka Mamlaka ya Ngorongoro).

Aidha kwa upande wa tarafa ya Loliondo kulingana na tarifa mbaimbali tulizo nazo haziruhusu kufanya shughuli za kisiasa hasa mikutano ya hadhara.

Kutokana na sababu hizo hapo juu, tunaelekeza kwamba usitishe mikutano hiyo kwa sasa hadi wakati mwingine ambao utakuwa mwafaka kwa ustawi wa amani na utulivu wa wilaya yetu.
 
Kama Ujumbe wa EU ulikataliwa sina hakika kama Mhe. Lissu na Chama chake wakakubaliwa kwenda huko Ngorongoro.

Inaonekana kuna mambo Serikali inajaribu kuyaficha wasijulikane.

Ndiyo maana hata Mbunge wao nilisoma hapa JamiiForums kuwa alitoweka asijulikane alipo kwa muda wa siku kadhaa.

I smell fishy
 
Samia ni zimwi kabisa, hivi huko Ngorongoro wanaficha kitu gani? huyu mwanamke ni mtu wa ajabu na hatari sana, asiye huruma kabisa.

Sasa ameamua kutumia cheo chake kuwanufaisha anaowajali yeye, wala hatujali watanganyika alioapa kuwatumikia.

Huyu mtu anastahili kabisa kupelekwa mahakamani kwa kukiuka kiapo alichoapa, amegeuka msaliti wa wazi kabisa asiye na chembe ya aibu.

Sitaki kuamini siku hizi ndani ya nchi yetu kuna sehemu hatutakiwi kukanyaga, huku ni kuvunja sheria makusudi, halafu akiambiwa ukweli anasema ameziba masikio na kutafuta uadui na watu, huyu dikteta mwanamke ni balaa kabisa.

Wajue tu, vile wanavyozidi kuzuia watu wasiende Ngorongoro ndivyo ambavyo wengi watataka kujua wanachoficha huko, iko siku ukweli utafahamika.
 
MH tundu lissu ashasema anaenda kisheria polisi ni kuwaataarifu tu, wagome au wakatae ni maamuzi yao, natamani kua kama lissu yani haki yake anaipigania haombi anaichukua hii ni tofauti karibu asilimia 99.99 ya watz tunaomba haki zetu tubadilike kwakweli.
 
Kule wanaruhusiwa waarabu pekee
Ila Waarabu wamejua kutushika haki ya nani.

Wanafanya Chama na Viongozi kwa Ujumla wachukiwe kwa makosa ya watu ambao hawafiki hata 10

Ingekuwa enzi zile ya Nabii Yonah, ilikuwa wanachukuliwa na kutoswa kwenye Bahari ili Mama Tanzania abakie salama.

Bahati mbaya huku kwetu Raia tumelala usingizi wa Pono hivyo tumewaachia Viongozi watuendeshe wanavyopenda.

So sad ๐Ÿ˜ž
 
Ila Waarabu wamejua kutushika haki ya nani.

Wanafanya Chama na Viongozi kwa Ujumla wachukiwe kwa makosa ya watu ambao hawafiki hata 10

Ingekuwa enzi zile ya Nabii Yonah, ilikuwa wanachukuliwa na kutoswa kwenye Bahari ili Mama Tanzania abakie salama.

Bahati mbaya huku kwetu Raia tumelala usingizi wa Pono hivyo tumewaachia Viongozi watuendeshe wanavyopenda.

So sad ๐Ÿ˜ž
Ndiyo maana teuzi zipo kiukoo zaidi na siyo kiutendaji
 
Samia ni zimwi kabisa, hivi huko Ngorongoro wanaficha kitu gani? huyu mwanamke ni mtu wa ajabu na hatari sana, asiye huruma kabisa.

Sasa ameamua kutumia cheo chake kuwanufaisha anaowajali yeye, wala hatujali watanganyika alioapa kuwatumikia.

Huyu mtu anastahili kabisa kupelekwa mahakamani kwa kukiuka kiapo alichoapa, amegeuka msaliti wa wazi kabisa asiye na chembe ya aibu.

Sitaki kuamini siku hizi ndani ya nchi yetu kuna sehemu hatutakiwi kukanyaga, huku ni kuvunja sheria makusudi, halafu akiambiwa ukweli anasema ameziba masikio na kutafuta uadui na watu, huyu dikteta mwanamke ni balaa kabisa.

Wajue tu, vile wanavyozidi kuzuia watu wasiende Ngorongoro ndivyo ambavyo wengi watataka kujua wanachoficha huko, iko siku ukweli utafahamika.
Tuamkeni kutoka kwenye usingizi huu
 
Polisi wamekataza mikutano yetu ya hadhara Ngorongoro. Juzi Serikali ya Samia imekataza wabunge wa Ulaya kutembelea eneo hilo. Wanaficha kitu gani? Licha ya jitihada za Serikali, Ngorongoro sio gereza & Wamaasai sio wafungwa wa gereza hilo. Sisi tutakuwa Ngorongoro kuanzia kesho!

Tundu Lissu
Mtandao wa X

Tunapenda kukufahamisha kuwa barua yako tajwa tumeipokea ikiwa na maudhui ya kufanya vikao vya ndani na mikutano ya hadhara maeneo ya kata 3 zizopo tarafa ya Loliondo na kata 3 zilizopo tarafa ya Ngorongoro.

Hata hivyo tarafa ya Ngorongoro ni eneo la Hifadhi ya Mamlaka ya Ngorongoro na kwamba kuingia na kutoka eneo hilo ni sharti kufuata taratibu zinazosimamia eneo hilo (kupata kiball kutoka Mamlaka ya Ngorongoro).

Aidha kwa upande wa tarafa ya Loliondo kulingana na tarifa mbaimbali tulizo nazo haziruhusu kufanya shughuli za kisiasa hasa mikutano ya hadhara.

Kutokana na sababu hizo hapo juu, tunaelekeza kwamba usitishe mikutano hiyo kwa sasa hadi wakati mwingine ambao utakuwa mwafaka kwa ustawi wa amani na utulivu wa wilaya yetu.
Nadhani wanakosea. Rais Dkt Samia hataki uminyani ya uhuru wa siasa. Hawa polisi wanakosea. Mh. Lisu hata fanyeje hakubaliki kabisa. 2025 ni Dkt Samia pekee ndiye anapendwa zaidi. Polisi wamuache azurule atakavyo maana kukaa ndani ulaya kumemchosha sana. Ukizingatia hana mshahara hizo ndiyo per diem zake jamani.
 
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜‚๐Ÿ”ฅ

Shujaa Magufuli alimzuia Tundu Lisu kufanya mkutano Kibaha lakini Kidume Antipas kilienda na Mkutano alifanya ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿผ๐ŸŒŸ
Huu mkutano wa Ngorongoro na Loliondo ni wa kimkakati...serikali itumie busara na sio nguvu.

Wajue tu Lissu haogopi kifo ni mfufuka hivyo hana cha kupoteza.

Huyu simba hazuiliki...wakileta ujinga wasubirie kisu toka EU
 
Back
Top Bottom