Subuhanallah kiukweli Allah atunusur na hichi kizazi cha sasa hiv maana nihatar sana nililetewa kesi ya mwanamke amekuja kumshitaki mume wake kuwa hamridhishi (hamkojozi) ikabidi niwaite wote wawili ili niwasikilize nilicho gundua mwanamke anataka aingiliwe kinyume na maumbile ila mwanaume hataki hapo ndipo shida ilipo anzia
😂😂😂 makaveli yaani kea pichs tu ana uwezo wa kuelezea namna atakavyomkunja na vionjo vingine 😂😂hakika mkuu waturudishie…. kuna mshenzi anaitwa kaveli acha niishie hapa
Kama aliliwa jicho na namuelewa haina noma ndoa inasonga tu,, sidhani kama kuachana nae ndio itakuwa imekufariji..
Jicho kaliwa na ameshaacha michezo iyo mbona hakuna noma maisha yanaendelea
Unampaje Onyo mtu mzima mwenye akili zake kwakitu ambacho hata akifanya au asipofanya hutajuwa?
Fanya mambo yako muda hautoshi kujadili vitu visivyo na faida na wewe.
Kwahiyo wewe ni sheikh , mchungaji au motivational speaker?Nikuulize kwan mchungaji au shekh anaposihi watu katika swala la uzinzi ww ukifanya au ukifanywa atajua vipi,acha kuongea km unakunya man kaa kwa kutulia hujalazimishwa kuchangia au unawashwa,siku nyingn usichangie mada km unakunya
Haswaaaa!Wanawake wanao fanya mapenzi kinyume na maumbile siku zote hawawezi kuwa waaminifu hasa wakipata mwanaume asiyefanya hiyo michezo
😂😂😂😂Kunyandua tigo wengine hulka tu usipoigonga unaitwa mwanaume wa Dar tu, dawa yao kuila tyu hakuna namna
vyovyote vile kiongozi ila ni kukosa utu na ukatili wa hali ya juu
Dah kwa hiyo mie tahira...aya bana.Ndugu zangu kwa miaka ya sasa hivi ukihitaj mwanamke wa maisha(future) hakikisha inakupasa umshirikishe Mola wako
Kwasababu sikuhizi wanawake wengi wameharibika wengi wanafanywa kinyume na maumbile mwanamke ameshakaa geto na mchizi zaidi ya mwezi magetoni jamaa anajilia vyombo na nyumbani kwao hilo hawalijui
Hakuna kitu kitamuumiza mwanaume kama atambue huyu demu/mwanamke wake/mke alishawahi kutoa kwa mpalange
Na kuna baadhi ya wanawake wengine wanapata ujasiri kabisa ukiwa nao faragha wanakuuliza maswali ya kimtego ili wajue ni mpenzi wa hayo mambo ili wakuachie tundu.
Wanawake wengi wao wanachomoa(wamechomoa)mimba sana hii pia nayo ni changamoto sana kwa hiki kizazi cha sasa
Haya ni mambo ambayo huwa yanaumiza sana sana kwa sisi wanaume endapo yakitokea kujua(background) huwa INAUMA na KUVUNJA MOYO
Utafiti wangu katika wanawake 10 bhas wanawake 4 katika 10 wameshashiriki mapenzi na kinyume na maumbile hii ni mbaya sana kidini na kiafya
KATIKA JAMBO LA KUHITAJI MWANAMKE WA MAISHA INAKUPASA UMLIMLIE MOLA WAKO SANA KAMA MUISLAM SWALI SANA HUKU UKIOMBA HILO NA KAMA MKRISTO BHAS NENDA KANISANI
ONYO KWA WADADA: Usifikiri kumpa mpenzi wako kinyume na maumbile ndio atazidi kukupenda au kuzidisha upendo hapo unajidanganya hakuna mwanaume mwenye akili hizo kama yupo bhas jua huyo ni TAHIRA MWENZIO