Msanii huyu huenda akatekwa ama akafanyiwa figisu kubwa, ukweli daima amekua sauti ya walalahoi kwa muda mrefu, hata enzi za Magufuli hakufunga mdomo, alipaza sauti.
Ney wa Mitego, amerudi tena na ukweli mchungu, mtegee sikio kwa dakika 5 ameongea mengi ambayo hakuna kiongozi atafurahia maana ni kweli tupu yenye uchungu, kuanzia ikulu, bungeni hadi maofisini na vyuoni.
Amkeni by Ney wa Mitego!
Ney wa Mitego, amerudi tena na ukweli mchungu, mtegee sikio kwa dakika 5 ameongea mengi ambayo hakuna kiongozi atafurahia maana ni kweli tupu yenye uchungu, kuanzia ikulu, bungeni hadi maofisini na vyuoni.
Amkeni by Ney wa Mitego!