Mjadala huru: Utaoa sura au tabia?

Mjadala huru: Utaoa sura au tabia?

Kwa kuzingatia neno "tabia mbaya" bora mwenye shepu mbaya tabia nzuri (kama ni makebo yataotaga tu !)
Agiza konyagi ya baridi mpaka itoe jasho
3D Butterfly  _. Cool #3D #butterfly #tattoo.jpg
 
Sura na shape aisee.

Mambo ya kuoa tabia kumbe anakuigizia, then baadae anaanza kuonyesha makucha.

Unakua umepata hasara mbili. Muonekano mbovu. Tabia Mbovu.

Bora hasara nusu.
Double loss.. Double damage..triple stress 🙌🏿😀🏃🏿
 
Fact moja kuhusu wanawake ni kwamba; wanawake wana vitu vinashabihiana, ila wanawake hawapo sawa kwa kutenda, kufikiria na kuamua.*
Yupo mwanamke ni mzuri wa tabia na kila kitu, ila anakuwa spoiled katika pitapita yake. Huyu akipata chaka zuri waga anakuwa mwema na anabadirika kabisa.
Kuna watu wameoa ma barmaids, wauzaji na madanga na ndoa zipo poa kabisa.
Kwa iyo ni namna tuu ya mindset ya mwanamke mwenyewe.
Yupo mwanamke ni mzuri wa tabia na kila kitu, ila anakuwa spoiled katika pitapita yake. Huyu akipata chaka zuri waga anakuwa mwema na anabadirika kabisa.*
Kuna watu wameoa ma barmaids, wauzaji na madanga na ndoa zipo poa kabisa.
 
Back
Top Bottom