Chivundu
Platinum Member
- Dec 17, 2012
- 13,054
- 26,191
Basi tuueni 😃
Lakini wewe mbona ni mzuri sana, mbona unajihukumu na kutojikubali?
Jikubali mtoto wa kike!
Basi tuueni 😃
Unanijua kwani 😀😀Lakini wewe mbona ni mzuri sana, mbona unajihukumu na kutojikubali?
Jikubali mtoto wa kike!
Unanijua kwani 😀😀
Hizi ni story tu za kijiweni😁
Isiamini kila kitu platinum ohooo
Au ni mtag mtu umuulize
kinga kila baada ya mshindo ila ukifika mwezi wa kumi nitaanza kumpiga pekupeku.Hakikisha una zingatia mimba mkuu.
Ukifikisha kwa Pilato ni 30 years na kazi ngumu jela.
Platinum 😁😁Hakuna haja, mimi naamini wewe ni mwanamke mzuri na mwenye akili.
Huu ni unyayasaji, wazee wana haki ya kupigana pia😁Usipigane na wazee 😀
Mna magonjwa mengi 😀😀 unataka umuachie mtu kesi ya kujibu kwenye vyombo vya dolaHuu ni unyayasaji, wazee wana haki ya kupigana pia😁
Nitaoa kulingana na sura au shepuJe kipaumbele chako kwenye ndoa ni tabia au sura? (Shape/mwonekano)?
Je kati ya sura na tabia ni kipi kinarekebishika?
Je utaoa mwenye tabia nzuri lakini shepu mbaya au utaoa mwenye sura nzuri lakini tabia mbaya?
Zingatia neno TABIA MBAYA!View attachment 3584537
Kumbe harmful sio mtoto tena ni mzee🫢Usipigane na wazee 😀
Lugha zenyu sasa lo Wajua kiswahili nilifeligi eee kulegeza chaga ndonini ??Legeza chaga sweetheart...
oya acha ukenge maji boya weeWe boya umewasaliti kataa ndoa?
Noma sanaView attachment 3584733 Sura ya Mshua shepu la mama mkwe🤣