Mjadala huru: Utaoa sura au tabia?

Mjadala huru: Utaoa sura au tabia?

Je kipaumbele chako kwenye ndoa ni tabia au sura? (Shape/mwonekano)?

Je kati ya sura na tabia ni kipi kinarekebishika?

Je utaoa mwenye tabia nzuri lakini shepu mbaya au utaoa mwenye sura nzuri lakini tabia mbaya?

Zingatia neno TABIA MBAYA!View attachment 3584537
Nitaoa kulingana na sura au shepu

Tabia atakuja atumie za kwangu nzuri.
 
Utaangalia tabia?
c9be21a3-7ac9-4e15-ba7e-2f6261dbc2ae.jpeg

Mtindi.. AKA Tommy diary😋😀🤣
 
Back
Top Bottom