Mjadala huru: Utaoa sura au tabia?

Mjadala huru: Utaoa sura au tabia?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
371,216
Reaction score
859,606
Je kipaumbele chako kwenye ndoa ni tabia au sura? (Shape/mwonekano)?

Je kati ya sura na tabia ni kipi kinarekebishika?

Je utaoa mwenye tabia nzuri lakini shepu mbaya au utaoa mwenye sura nzuri lakini tabia mbaya?

Zingatia neno TABIA MBAYA!
e0d61610-da78-4e28-93fe-a687da6bca35.jpeg


View: https://www.facebook.com/share/v/14kX7ftmETV/
 
Kanuni ni ile ile; Oa mke mwema weka ndani, nyama nyama zinabakia kuwa ni "Spea tairi".
Mke ni "software" sio "hardware". Unakuta mkali, kaoa mke kawaida sana, ila ana pisi kali mtaani ya kuzugia. 😁
 
Back
Top Bottom