PERAMIHO YETU
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 6,289
- 17,313
Dah huu mtihani
Tabia njema sura mbaya ...kizaz chako kinaweza kuwa sokwe huko mbele
Binafs sura tabia inadhibitiwa vizur
Dah huu mtihani
Tabia njema sura mbaya ...kizaz chako kinaweza kuwa sokwe huko mbele
Binafs sura tabia inadhibitiwa vizur
Kwenye swala la ndoa hakuna turning back!, rehearsal!Je kipaumbele chako kwenye ndoa ni tabia au sura? (Shape/mwonekano)?
Je kati ya sura na tabia ni kipi kinarekebishika?
Je utaoa mwenye tabia nzuri lakini shepu mbaya au utaoa mwenye sura nzuri lakini tabia mbaya?
Zingatia neno TABIA MBAYA!View attachment 3584537
Kwenye swala la ndoa hakuna turning back!, rehearsal!
Ukijidanganya ya kuwa sura hairekebishiki, na kuwa tabia inarekebishika....
Utakumbuka shuka kumekucha!
Kwenye ndoa tunaangalia mwanamke mlezi wa familia,
Oa sura mlezi wa maumivu!
Unanidanganya hadi mimi 😅Wallah Mimi ni muumini wa tumiskaki twa mia😂
Inahusu nini mkuu? Sinaga FB![]()
Eeeh Hapa baba sina 🥱View attachment 3584866Bimkubwa anazeeka nalo😋😀
Kaka yetu Atoto kasema anaoa sura,
Atoto ni mkaka hii chai 😀Kaka yetu Atoto kasema anaoa sura,
Naunga mkono hoja
🌝
😅😅 Kuna umoja wetu wa makaka humu ndani, unamfahamu Evelyn salt?Atoto ni mkaka hii chai 😀
Huyu sijawahi kuamini kama ni mwanaume 😀😀😅😅 Kuna umoja wetu wa makaka humu ndani, unamfahamu Evelyn salt?
Sisi umetutag ndiyo wa kuolewa au wenye tabia mbaya 😂
Weka pichaBalance ni muhimu sana kwa sababu lazima ufikirie kizazi kitakachokuja kuzaliwa kitakuwaje?. Hata ng'ombe na kuku tukitaka kupandikiza lazima tuchague dume bora, good genes ni muhimu.
Usipoangalia binti zako wanaweza kuja kukosa wachumba ukubwani,ukawa na watoto wa kiume wafupi kama stuli. Wakaishia kushindwa kuingia jeshini kwa sababu ya kimo,wakakosa fursa za michezo kwa sababu ya kimo pia.
Ukitaka kuoa chunguza sana phenotype,ana nywele,kimo, rangi yenye nuru, akili za maisha. Hakikisha hana magonjwa ya kurithi,kigugumizi,ualbino, allergy za ajabu ajabu,sura isiwe pana au nyembamba sana. Mwanamke hatakiwi kuwa na flat foot nk .
Naunga mkono hojaMim natamani nimpate bint mweny heshima/good manner
Sura ya kati tu asiwe mzuri sana, na awe maji ya kunde
Na nyashi iwe imebalance kidogo ili dog style niwe naiona dunia yote.
Wazuri sana hapana, kwakwel naushuhuda nao
Flat footBalance ni muhimu sana kwa sababu lazima ufikirie kizazi kitakachokuja kuzaliwa kitakuwaje?. Hata ng'ombe na kuku tukitaka kupandikiza lazima tuchague dume bora, good genes ni muhimu.
Usipoangalia binti zako wanaweza kuja kukosa wachumba ukubwani,ukawa na watoto wa kiume wafupi kama stuli. Wakaishia kushindwa kuingia jeshini kwa sababu ya kimo,wakakosa fursa za michezo kwa sababu ya kimo pia.
Ukitaka kuoa chunguza sana phenotype,ana nywele,kimo, rangi yenye nuru, akili za maisha. Hakikisha hana magonjwa ya kurithi,kigugumizi,ualbino, allergy za ajabu ajabu,sura isiwe pana au nyembamba sana. Mwanamke hatakiwi kuwa na flat foot nk .
Kwa rangi za hii nguo sijui kwanini nahisi kama una maana tofauti na ulichoandikia.......au basiJe kipaumbele chako kwenye ndoa ni tabia au sura? (Shape/mwonekano)?
Je kati ya sura na tabia ni kipi kinarekebishika?
Je utaoa mwenye tabia nzuri lakini shepu mbaya au utaoa mwenye sura nzuri lakini tabia mbaya?
Zingatia neno TABIA MBAYA!View attachment 3584537