Chivundu
Platinum Member
- Dec 17, 2012
- 13,055
- 26,197
Wewe umeoa
Ndio, nimeoa.
Wewe umeoa
Kumbe unaongelea unachokijua hongeraNdio, nimeoa.
Yaan! ShesRise_1 wiki hii nimekua nakuwaza wewe tu mpaka nikajishangaa....Shukran
Kumbe unaongelea unachokijua
Hapana, ndo nanyatia kuku polepole kwa binti mnzuri ShesRise_1Nikuulize swali moja. Je, umeoa?
Kwakweli ukimpata uturejee kutuonesha sample ya mke wako atakuwa ni ndoto kwa vijana wengi🤭Don't take it personal,sijaoa bado natafuta😂😂😂😂.
Basi sio ridhiki, asubiri upande wa pili walete majibu yao😃Sasa bwana Emily magnus , inaonekana hataki hizo za issue ndogo ndogo, anataka chanda chema. 😁
Hahaha muache kijana ajiweke hapo mali safi, tofauti na hapo aje huku mishangazi tumtapeli😂sina hizo sifa nimeona nitoe tangazo,mapema aache kuniwazia tofauti😆
Basi sio ridhiki, asubiri upande wa pili walete majibu yao😃
Aendelee kutupamba tu hakuna namna🤣Yeye ameshawataja kule, watu ambao anawakubali. 😁
Aendelee kutupamba tu hakuna namna🤣
Usingejibu hivi tu ungeongezewa mke wa pili chap 😂Ndio, nimeoa.
Ajielezee kwamba? Si kashatoa point hapo jamani🤣Ndio, ila mpeni nafasi, ajieleze kwenu, ndio mumchuje.
Hivyo ulivyo navyo me nimevikubali na vinatosha na kunikosha. Na NAKUPENDA SANA.mbona mi sina hata kimoja kati ya ulivyo vitaja,, nitoe hapo weka mwingine
Usingejibu hivi tu ungeongezewa mke wa pili chap 😂
Tumsubiri! kunyimwa K ndiyo sababu kuu ya kuwepo machangudoa na kiboko yake - Michepuko. Kwanza wenye K wanajisikia wakati wa ovulation na wakiwa ahela tu. Wakati sisi tungependa kila siku uzitoe.Safi, ngoja aje kujibu. Emily magnus
Utakufa vibaya nakuhurumia 🤣🤣Yaan! ShesRise_1 wiki hii nimekua nakuwaza wewe tu mpaka nikajishangaa....
Ila jana na leo ndo nimegundua nina hisia za upendo kwako, "NAKUPENDA". Sio utani. Na nina uhakika kabisa.
Hufake maisha kwenye id fake 😂 ila Nakubali mkuu muda mwengine ukweli muhimuKwanini sasa! Mimi si fake maisha yangu!
Unawaza upuuzi kwamba mi nataka ndoa nyokooo😏Usingejibu hivi tu ungeongezewa mke wa pili chap 😂