Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 12,307
- 27,084
Hiko ti ndo tunaangalia mengine badae kwanza 😂😂
Hiko ti ndo tunaangalia mengine badae kwanza 😂😂
Huu sasa ni Unafiki jamanii, [emoji23][emoji23][emoji23]Kanuni ni ile ile; Oa mke mwema weka ndani, nyama nyama zinabakia kuwa ni "Spea tairi".
Mke ni "software" sio "hardware". Unakuta mkali, kaoa mke kawaida sana, ila ana pisi kali mtaani ya kuzugia. [emoji16]
Huu sasa ni Unafiki jamanii, [emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaniii, nishakaribia,Coca, mimi nimefanya unafiki gani?
Huo ndio uhalisia, shida nikisema uhalisia mnaona kama unafiki. [emoji16]
Hata hivyo, karibu kwenye mjadala. [emoji4]
nasasa na utamadun wakufuata mtoto naenda nae mwanza tunazurura wew na mahtaj, kisha namrudisha ila mwakan namfata aanze shuleIshu ya mtoto, usiache kuweka ukaribu na mtoto, mtoto ukimhudumia na kumpenda atajua kuwa wewe ni baba, hata kama yupo kwa mama yake.
Kuwa nae karibu, hakikisha anapata mahitaji yote muhimu na upendo wako.
Akifika legal age, unamchukua.
nasasa na utamadun wakufuata mtoto naenda nae mwanza tunazurura wew na mahtaj, kisha namrudisha ila mwakan namfata aanze shuleIshu ya mtoto, usiache kuweka ukaribu na mtoto, mtoto ukimhudumia na kumpenda atajua kuwa wewe ni baba, hata kama yupo kwa mama yake.
Kuwa nae karibu, hakikisha anapata mahitaji yote muhimu na upendo wako.
Akifika legal age, unamchukua.
nasasa na utamadun wakufuata mtoto naenda nae mwanza tunazurura wew na mahtaj, kisha namrudisha ila mwakan namfata aanze shule
Mtoto MashaAllahnasasa na utamadun wakufuata mtoto naenda nae mwanza tunazurura wew na mahtaj, kisha namrudisha ila mwakan namfata aanze shule
Mbona sura ya baba wengi warembo tu, km ulizaa na handsome🤣🤣Kama ukizingatia sentence ya mwisho ya "tabia mbaya" unaweza kuoa sura ya baba😀
Sisi sura ya baba tunanyanyapaliwa. sana😅Mbona sura ya baba wengi warembo tu, km ulizaa na handsome🤣🤣
Tuko warembo mbonaSisi sura ya baba tunanyanyapaliwa. sana😅
Tujifariji et😆Tuko warembo mbona
Hahaa
Wasituchukulie poa
Sisi sura ya baba tunanyanyapaliwa. sana😅
Basi tuueni 😃Mnatengwa na kunyanyapaliwa! 😁
Both team to score,naoa sura nzuri na tabia pia, kuna ka dent 4m4 huwa nakafua kwelikweli natarajia kakimaliza tu nikaweke ndani,nakapenda