Manyanza
Platinum Member
- Nov 4, 2010
- 20,346
- 49,161
Wakuu nimekuwa nikijiuliza bila hata kupata majibu .
Uongo unaweza kuwa ni ugonjwa au moja ya tabia tu mbaya ?
Kimsingi kila binadamu ana madhaifu yake anaweza akadanganya ili kuepuka aibu na wakati mwingine kutaka kujilinda, au kutafuta faida hasa kwenye ishu za pesa, na wakati mwingine mtu huongea uongo ili kuepuka adhabu, au mbaya zaidi mtu huongea uongo aonekanekana ni mtu mwenye sifa nzuri kwenye jamii.
Kuna wale ambao huongea uongo wa kulazimisha (pathological lying) Hasa ndugu zetu Wanasiasa na Machawa ambao hongea uongo wa waziwazi tena usio na faida yoyote na happ ndipo huwa nawaona wana matatizo fulani ya afya ya akili au kukosa utu kwa hali fulani
Nini mtazamo au mawazo yenu kuhusu ''UONGO " Je ni tabia mbàya au ni ugonjwa ?
Uongo unaweza kuwa ni ugonjwa au moja ya tabia tu mbaya ?
Kimsingi kila binadamu ana madhaifu yake anaweza akadanganya ili kuepuka aibu na wakati mwingine kutaka kujilinda, au kutafuta faida hasa kwenye ishu za pesa, na wakati mwingine mtu huongea uongo ili kuepuka adhabu, au mbaya zaidi mtu huongea uongo aonekanekana ni mtu mwenye sifa nzuri kwenye jamii.
Kuna wale ambao huongea uongo wa kulazimisha (pathological lying) Hasa ndugu zetu Wanasiasa na Machawa ambao hongea uongo wa waziwazi tena usio na faida yoyote na happ ndipo huwa nawaona wana matatizo fulani ya afya ya akili au kukosa utu kwa hali fulani
Nini mtazamo au mawazo yenu kuhusu ''UONGO " Je ni tabia mbàya au ni ugonjwa ?