Mjadala huru: Utaoa sura au tabia?

Mjadala huru: Utaoa sura au tabia?

Hii sio ID fake, Chivundu ni jina langu mkuu. 😁
Mkuu nilikutania tu hapo juu kuna member kanimind 😂

Ni hivi Jf wengi huwa wanafanya vitu ila akiulizwa kuhusu hicho kitu huwa anakataa ili apate credit

Ila me nimekubali jibu lako kuwa umeoa na sio kama wengine tunavyotaka kutumia nafasi kama hizo 🙌🏾
 
Mkuu nilikutania tu hapo juu kuna member kanimind 😂

Ni hivi Jf wengi huwa wanafanya vitu ila akiulizwa kuhusu hicho kitu huwa anakataa ili apate credit

Ila me nimekubali jibu lako kuwa umeoa na sio kama wengine tunavyotaka kutumia nafasi kama hizo 🙌🏾

Yep, nimeoa mkuu. Najua ni utani mkuu. 😁
 
Mkuu nilikutania tu hapo juu kuna member kanimind 😂

Ni hivi Jf wengi huwa wanafanya vitu ila akiulizwa kuhusu hicho kitu huwa anakataa ili apate credit

Ila me nimekubali jibu lako kuwa umeoa na sio kama wengine tunavyotaka kutumia nafasi kama hizo 🙌🏾
Umepata funzo mkuu😆

Usijitetee sana bwana!
 
Oa mwanamke mwenye muonekano mzuri tabia utamrekebisha.
Ni Sana Sana kurekebisha tabia za mtu ila huwezi kurekebisha muonekano wake especially sura mbaya.

Tumewashuhudia wanaume waliooa wanawake wenye muonekano mbaya kutokana na Hali zao( wanaume) mbaya za kiuchumi.
Ila uchumi wao ulipoimarika wanawake zao wenye muonekano mbaya cha moto walikiona.

Wanaume zao waliishia kuwatelekeza na kwenda kuoa wanawake wenye shape na sura nzuri.
 
Back
Top Bottom