Je kipaumbele chako kwenye ndoa ni tabia au sura? (Shape/mwonekano)?
Je kati ya sura na tabia ni kipi kinarekebishika?
Je utaoa mwenye tabia nzuri lakini shepu mbaya au utaoa mwenye sura nzuri lakini tabia mbaya?
Zingatia neno TABIA MBAYA!
https://www.facebook.com/share/v/14kX7ftmETV/
Unawaza nini?
Unakumbuka nini?
Je unakuogopesha?
Je inakuumiza?
Je inakuogopesha?
Binafsi nina shuhuda zangu nitashare kwenye comments
Karibuni kwa mjadala
https://www.jamiiforums.com/threads/ambulance-zetu-na-wahudumu-wa-chumba-cha-mahututi.1728818/
Bunge kwenye mataifa ya watu wenye akili timamu ni chombo kikubwa sn sababu ndiyo kinatunga sheria na kulinda maslahi ya nchi, sisi tupo karne ya 21 yaani ulimwengu wa AI(Artificial Intelligence) bado tunataka watunga sheria wanao jua na kusoma pekee, je wataweza kutafsiri mikataba ya kimataifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.