Mjadala huru: Utaoa sura au tabia?

Mjadala huru: Utaoa sura au tabia?

Sasa hao hawaangalii miruzi wanaangalia maslahi! Kama unaye means unammudu basi mweke kati😃

Mwanamke akiwa wa maslahi, maana yake ni wa wote! Yaani miruzi anapigiwa mingi na anaitikia. Mwanamke anapaswa awe contented, akiweka maslahi mbele, basi kuna watu wanatumia hiyo kama chambo ya kumnasa. 😁
Demu mpenda maslahi, anapigika kirahisi, sawa na mbwa mroho.
 
Mwanamke akiwa wa maslahi, maana yake ni wa wote! Yaani miruzi anapigiwa mingi na anaitikia. Mwanamke anapaswa awe contented, akiweka maslahi mbele, basi kuna watu wanatumia hiyo kama chambo ya kumnasa. 😁
Demu mpenda maslahi, anapigika kirahisi, sawa na mbwa mroho.
Dahhh lakini bado unachagua kuwa naye tu na unajua ni wa namna gani?🤔
 
Aanh mi ntampiga panga mchana kweupee acha atulie huko aliko tu😂

Ila kuna fact moja tunaisahau. Wanawake waga wanabadirika, unaweza ukaoa Barmaid akaja kuwa mke mzuri, akakulea, kukutunza, kukuheshimu na akasahau yote ya nyuma. Ila sio wengi wa namna hii.
Wakati mwingine, wanawake kinachowafanya kuwa walivyo ni life tuu ! Ila akipata chaka zuri anabadirika anakuwa mtu mwema sana.
 
Ila kuna fact moja tunaisahau. Wanawake waga wanabadirika, unaweza ukaoa Barmaid akaja kuwa mke mzuri, akakulea, kukutunza, kukuheshimu na akasahau yote ya nyuma. Ila sio wengi wa namna hii.
Wakati mwingine, wanawake kinachowafanya kuwa walivyo ni life tuu ! Ila akipata chaka zuri anabadirika anakuwa mtu mwema sana.
Huyu ankuwa amaeshajifunza maisha! Niliona humu wanasema kwamba akipata mtu wa kumkumbusha anarudi kule kule!sijui kama ni kweli au la..
 
Back
Top Bottom