Mjadala huru: Utaoa sura au tabia?

Mjadala huru: Utaoa sura au tabia?

Huyu ankuwa amaeshajifunza maisha! Niliona humu wanasema kwamba akipata mtu wa kumkumbusha anarudi kule kule!sijui kama ni kweli au la..

Fact moja kuhusu wanawake ni kwamba; wanawake wana vitu vinashabihiana, ila wanawake hawapo sawa kwa kutenda, kufikiria na kuamua.
Yupo mwanamke ni mzuri wa tabia na kila kitu, ila anakuwa spoiled katika pitapita yake. Huyu akipata chaka zuri waga anakuwa mwema na anabadirika kabisa.
Kuna watu wameoa ma barmaids, wauzaji na madanga na ndoa zipo poa kabisa.
Kwa iyo ni namna tuu ya mindset ya mwanamke mwenyewe.
 
Sura/Muonekano ni muhimu kuzingatia

Akikuzalia watoto wakike wenye sura personal, si utajikuta unakaa nao nyumbani kwa kukosa waume wa kuwaoa

Nani anataka nyumba yake ijae matangazo ya kwamba "Tunauza ice cream hapa" ama "Nyumba hii haina Mbwa Mkali"

NB: Kuna raha kuongozana na baby wako akiwa kisu, sio muda wote mkiwa mnaenda church, yeye mbele hatua 200 then wewe unafuatia kwa mbali šŸ˜‚
 
Enhee! Leta ushuhuda mkuu.
sawa mzur utaongozana nae ata kwenda sokon, ila hamfki mbali.

Bhana nilienda nae sokon siku moja nikamwambia nisubir hapa ninunue kitu dukan, asee narud nakuta jamaa kakomaa kumpeleleza. Hii si mara moja hadi alikuja kushawisha nikaonekana boya kwake.

Aliomba mwenyew tuachane, namim nilikua nahasira za kunyimwa mzigo ndan na mapicha picha yake alonifanyia nikampa nauri akaondoka.

Ameenda kwao kama mwez mmoja hv, akampeleka mwanangu kwetu.
Akidai kapata kazi sehem kumbe anaenda kuolewa na jamaa.
Miezi mitatu wakazinguana akarudi kwao na ujauzito, had akazaa.
Saiv kuna boya/mme wa mtu tena kamsogeza geto kamfanya mchepuko.

Ndo nawaza kumbe hawa wazuri ni vizur wakawa wa pemben
 
Fact moja kuhusu wanawake ni kwamba; wanawake wana vitu vinashabihiana, ila wanawake hawapo sawa kwa kutenda, kufikiria na kuamua.
Yupo mwanamke ni mzuri wa tabia na kila kitu, ila anakuwa spoiled katika pitapita yake. Huyu akipata chaka zuri waga anakuwa mwema na anabadirika kabisa.
Kuna watu wameoa ma barmaids, wauzaji na madanga na ndoa zipo poa kabisa.
Kwa iyo ni namna tuu ya mindset ya mwanamke mwenyewe.
Upo sahihi! Besides mapungufu hayo kuna watu wana tabia nzuri tu in nature! Maisha ndio yanawapelekea kujikuta katika makundi fulani!
 
Back
Top Bottom