Mjadala huru: Utaoa sura au tabia?

Mjadala huru: Utaoa sura au tabia?

vipi mkuu mshana
214680ac-f67b-49f6-8396-755d368afa34.jpeg
 
Unataka tusiongozane kama tunaenda guest bhana 😜. Mengine atajijua yeye mwenyewe mie naangalia amani yangu tu. 😅😅😅😅
Hujaulizwa "amani" , umeulizwa "sura au tabia"
"mke" apelekwi gesti, anaishi nawe nyumbani kwa heshma.!
Gest ni wa wageni na wasafiri,
 
Hujaulizwa "amani" , umeulizwa "sura au tabia"
"mke" apelekwi gesti, anaishi nawe nyumbani kwa heshma.!
Gest ni wa wageni na wasafiri,
Ujuaji, soma vizuri utaelewa. Vyote ulivyojaribu kuzungumza hapo upo wrong m/umetunga mimi hata sijasema hivyo.
 
Back
Top Bottom