Mjadala huru: Utaoa sura au tabia?

Mjadala huru: Utaoa sura au tabia?

Sijapata funzo lolote 😂

Ni hivi kugombana na mwanamke hata normal siwezi

Na kugombana kwa kutype napo siwezi kabisa yaani vita kama hizi nazikwepa tu 😂
Nani anataka kugombana kijana 🤣
Nb: mimi napenda utani ila sio wa kudhalilisha natamani hii issue usiikuze na kuendelea kuizungumzia naona ushakua mjadala tena🤝
 
Back
Top Bottom