Martrix_32
JF-Expert Member
- Dec 1, 2025
- 1,025
- 2,051
kabisa ! kama tu unavyosemag wewe flat screen akiolewa na kijana mtuliv kama Mbaga Jr mbona vitadevelop !Jidanganye! Hayajaota miaka yote yaje kuota sasa!
kabisa ! kama tu unavyosemag wewe flat screen akiolewa na kijana mtuliv kama Mbaga Jr mbona vitadevelop !Jidanganye! Hayajaota miaka yote yaje kuota sasa!
Nitajuta kwamba?Sio ukiwa mke 😂 utajuta
Hahahah ugomvi sio mzuri ni bora kujishusha mkuu☺️Yaap we angalia watu wanaogombana humu Jf kama baada ya hapo wanaheshimiana ila live lazma mpeane mipaka ya kweli 😂😂😂
Protein zote kazitia chooni, nikukutana na mabaki mabaki tu hapo huambulii kitu!kabisa ! kama tu unavyosemag wewe flat screen akiolewa na kijana mtuliv kama Mbaga Jr mbona vitadevelop !
hahahaaaaa! nliona kaandika ameacha bcoz of u!Protein zote kazitia chooni, nikukutana na mabaki mabaki tu hapo huambulii kitu!
Kujishusha uongo ni either unipige au nikupigeNitajuta kwamba?
Hahahah ugomvi sio mzuri ni bora kujishusha mkuu☺️
Ishakuwa harmful asije umiza mke wa mtu !Imeisha hyo mimi ntakuwa promota wa pambano, utazichapa na Harmful jumamosi hii
Nani anataka kugombana kijana 🤣Sijapata funzo lolote 😂
Ni hivi kugombana na mwanamke hata normal siwezi
Na kugombana kwa kutype napo siwezi kabisa yaani vita kama hizi nazikwepa tu 😂
Funga macho tuombe amenSio mbaya nzi kufia kwenye kidonda. Hivyo usiwe wasiwasi. Endapo nitakufa kipindi nipo kwenye mapenzi na wewe... Basi kaburini nitaingi nikiwa natabasamu.
Nielewe tafadhari, namaanisha ninachosema.
👍
Hahahaaaaa
Mimi nataka kugombana upo wapi nije tuzichape 😎Nani anataka kugombana kijana
Ngoja aje pande izi !Huyo si mshangazi nitapelekwa kwenye dawati la jinsia í ½í¸í ½í¸í ½í¸
😅 usiogope ntakutaftia mwanasheria mzuriHuyo si mshangazi nitapelekwa kwenye dawati la jinsia 😂😂😂
Legeza chaga sweetheart...
Mwanasheria Mbaga Jr !ntakutaftia mwanasheria mzuri
Mimi nataka kugombana upo wapi nije tuzichape 😎
Unataka pambano ganiMimi nataka kugombana upo wapi nije tuzichape 😎
mapambano yote mpaka apatikane mshindi, tunaanza hilo la pili kwanza😎Unataka pambano gani
Nipo vizuri kwa ndondi
Nipo vizuri kulombana unataka tuanze na pambano gani
Una uwezo wa kufunga goli kama la chama?