Mjadala huru: Utaoa sura au tabia?

Mjadala huru: Utaoa sura au tabia?

Oa mwanamke mwenye muonekano mzuri tabia utamrekebisha.
Ni Sana Sana kurekebisha tabia za mtu ila huwezi kurekebisha muonekano wake especially sura mbaya.

Tumewashuhudia wanaume waliooa wanawake wenye muonekano mbaya kutokana na Hali zao( wanaume) mbaya za kiuchumi.
Ila uchumi wao ulipoimarika wanawake zao wenye muonekano mbaya cha moto walikiona.

Wanaume zao waliishia kuwatelekeza na kwenda kuoa wanawake wenye shape na sura nzuri.
 
Balance ni muhimu sana kwa sababu lazima ufikirie kizazi kitakachokuja kuzaliwa kitakuwaje?. Hata ng'ombe na kuku tukitaka kupandikiza lazima tuchague dume bora, good genes ni muhimu.

Usipoangalia binti zako wanaweza kuja kukosa wachumba ukubwani,ukawa na watoto wa kiume wafupi kama stuli. Wakaishia kushindwa kuingia jeshini kwa sababu ya kimo,wakakosa fursa za michezo kwa sababu ya kimo pia.

Ukitaka kuoa chunguza sana phenotype,ana nywele,kimo, rangi yenye nuru, akili za maisha. Hakikisha hana magonjwa ya kurithi,kigugumizi,ualbino, allergy za ajabu ajabu,sura isiwe pana au nyembamba sana. Mwanamke hatakiwi kuwa na flat foot nk .
 
Balance ni muhimu sana kwa sababu lazima ufikirie kizazi kitakachokuja kuzaliwa kitakuwaje?. Hata ng'ombe na kuku tukitaka kupandikiza lazima tuchague dume bora, good genes ni muhimu.

Usipoangalia binti zako wanaweza kuja kukosa wachumba ukubwani,ukawa na watoto wa kiume wafupi kama stuli. Wakaishia kushindwa kuingia jeshini kwa sababu ya kimo,wakakosa fursa za michezo kwa sababu ya kimo pia.

Ukitaka kuoa chunguza sana phenotype,ana nywele,kimo, rangi yenye nuru, akili za maisha. Hakikisha hana magonjwa ya kurithi,kigugumizi,ualbino, allergy za ajabu ajabu,sura isiwe pana au nyembamba sana. Mwanamke hatakiwi kuwa na flat foot nk .
Duhh mkuu! Basi utakuwa una mke perfect ever! Yaani mpaka flat foot ina affect ndoa!!🫢 sawa bana wafupi kama stuli na wenye sura pana kama pazia tumekaa pembeni, watakao baki watatukuta😥
 
Back
Top Bottom