Haswaaa!!Kuna wakati vijana kataa ndoa nawaelewa. Homa ya mapenzi ni mbaya sana.
Hata kama ni wengi: ni kitu hakizoeleki, mtu unakufa hata karaha za uzeeni hujapata, unakufa viungo muhimu viko perfect kabisa..Wangapi wanakufa ikiwa hawajafikisha hy 70?
sawa ila huyo ni askari ujue na ni MEIla Waja, sijui kwanini mnashikilia vitu vudogo km hivi?
Inawahusu nini? Em muwe buzzy na uzi wa majonzi huu.
Hiyo picha ya pili akiwa amevaa hayo manguo ya laana ya kijani umeiongezea ya nini? Kwani amekufa akiwa katika harakati za chama? Au ni chambo unataka watu wachafukwe? Iondoe bana!Taarifa zilizotufiukia hivi punde katika chumba chetu cha habari, zinaeleza kuwa mchekeshaji na mshereheshaji maarufu nchini Tanzania, Emmanuel Mathias almaarufu MC Pilipili, amefariki dunia ghafla mchana leo, Novemba 16, 2025.
Taarifa zinaeleza kuwa, MC Pilipili alisafiri kuelekea jijini Dodoma ambapo jioni ya leo alitarajiwa kwenda kufanya kazi yake ya ushereheshaji jijini humo, lakini akafikwa na mauti.
Global TV imezungumza na Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya General, Dodoma, Ernest Ibenzi ambaye amethibitisha taarifa hizo na kueleza kuwa MC Pilipili amefikishwa hospitalini hapo akiwa tayari amefariki dunia.
View attachment 3502851
Source: Global TV Online
Udugu uwage kimya, sasa jifanye kila kitu una react, utakuwa mnyonge hapa jamvini.Ata ningekaa kimya mzee kisinge badirika kitu
angalia impact yako sio unataka uishi miaka mingi while ur useless guy .Hata kama ni wengi: ni kitu hakizoeleki, mtu unakufa hata karaha za uzeeni hujapata, unakufa viungo muhimu viko perfect kabisa..
Mungu atusaidie tuwe na mwisho mema.
Ukiwa sikia sasa wenye nchi yao unadhani kabisa hawatakufaChanzo ni presha ya ghafla,
Jamanii Ndoa hizi, woiiiiiiiiih!!
RIP MC pilipili. 😢😢😭😭View attachment 3502848
Yah, kuna namna naweza kukuelewa na kuwaelewa wale wanaoteswa na wanawake/ndoa mana hata mm kuna namna nilishawahi kupitia humo japokuwa haikuwa ndoa.Kiukweli toka aachwe na yule mkewe, MC hakua sawa, nishawahi kuwa nae karibu ktk event fulani hivi, the way alivyokua ana act, ni km mwenye depression, yaan sijui nisemeje.
Apumzike salama!
Ni muhimu sana hata ukifa una miaka 30 uache legasi. Sasa unahendekeza uchawa unakuja kuacha legasi ya kejeli na machukizo kwa raia wenzakoangalia impact yako sio unataka uishi miaka mingi while ur useless guy .
hao watakufa ila tayari wameandaa chakula cha cha mpaka kizazi cha 4 wanapambania wajukuu waje wapande first classUkiwa sikia sasa wenye nchi yao unadhani kabisa hawatakufa
Hakuna mtu yuko USELESS wewe, tatizo mko material oriented....Binadamu yoyote ana maana - itategemea unaangalia katika angle ipi.angalia impact yako sio unataka uishi miaka mingi while ur useless guy .
😂😂😂😂😂sawa ila huyo ni askari ujue na ni ME
Ni muhimu sana hata ukifa una miaka 30 uache legasi. Sasa unahendekeza uchawa unakuja kuacha legasi ya kejeli na machukizo kwa raia wenzako
Kuna usemi una sema kichaa ana furahisha akiwa hatoki nyumbani kwakoHakuna mtu yuko USELESS wewe, tatizo mko material oriented....Binadamu yoyote ana maana - itategemea unaangalia katika angle ipi.
Unafikiri wenye ndugu vichaa wanatamani WAFE sio??
Yaan nachoka mie,Ukiwa sikia sasa wenye nchi yao unadhani kabisa hawatakufa