Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 52,050
- 125,885
Ndo imeshindikana.Miaka ya kibiblia ni 70
Ndo imeshindikana.Miaka ya kibiblia ni 70
100% kuoa ni ujinga ambao unaua mapemaMhh ndoa
Wanawake
Hivi vitu ni vyanzo vya mtu kufa mapema
Ndo maana nimesema bado mdogo sanaNdo imeshindikana.
Af nisha kukataza iyo tabia ya kuniita hayo majina embu futaShida sio wanawake, shida ni Ndoa.
Ndoa ndo inafanya yote haya, wanawake wala hawana kosa,
Walau 70 kuendelea, kufa chini ya hapo ni msiba na huzuni kuuUlitaka afe akiwa na miaka mingapi?
N kvp ndoa imekuwa chanzo cha kifo chake?Chanzo ni presha ya ghafla,
Jamanii Ndoa hizi, woiiiiiiiiih!!
RIP MC pilipili. 😢😢😭😭View attachment 3502848
Mwanamke ana matatizo hajawai tosheka na chochote ata umpe kadi au umpe pesa zote bado100% kuoa ni ujinga ambao unaua mapema
Ila best we nae, yaan uko so emotional na watu wa JF?Af nisha kukataza iyo tabia ya kuniita hayo majina embu futa
Dah,kifo bana,juzi tu kahojiwaTaarifa zilizotufiukia hivi punde katika chumba chetu cha habari, zinaeleza kuwa mchekeshaji na mshereheshaji maarufu nchini Tanzania, Emmanuel Mathias almaarufu MC Pilipili, amefariki dunia ghafla mchana leo, Novemba 16, 2025.
Taarifa zinaeleza kuwa, MC Pilipili alisafiri kuelekea jijini Dodoma ambapo jioni ya leo alitarajiwa kwenda kufanya kazi yake ya ushereheshaji jijini humo, lakini akafikwa na mauti.
Global TV imezungumza na Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya General, Dodoma, Ernest Ibenzi ambaye amethibitisha taarifa hizo na kueleza kuwa MC Pilipili amefikishwa hospitalini hapo akiwa tayari amefariki dunia.
View attachment 3502851
Source: Global TV Online
Wewe binti huyo mashiluwi ni shost yakoShida sio wanawake, shida ni Ndoa.
Ndoa ndo inafanya yote haya, wanawake wala hawana kosa, shost.
so huyo demu anakuita shosti je wewe ni mboga?Af nisha kukataza iyo tabia ya kuniita hayo majina embu futa
No rekebisha toa ilo neno la mwishoniIla best we nae, yaan uko so emotional na watu wa JF?
hujawazoea tyuuh?! Aaaah
Mmeanzaa nongwaa wajaa, Em tutoe polee kwa wafiwa, na tumuombee maehemu.Wewe binti huyo mashiluwi ni shost yako
Presha ni janga,tuepuke vyakula vya ovyo, tufanye mazoeziChanzo ni presha ya ghafla,
Jamanii Ndoa hizi, woiiiiiiiiih!!
RIP MC pilipili. 😢😢😭😭View attachment 3502848