Huu mradi na ule walioutembelea awali ni muhimu mno Kwa Taifa letu.

Ila kwa sasa tunahitaji pia kupanua bandari ya Mtwara na Tanga.
 
..hivi wakandarasi wanapata muda wa kufanya kazi zao?

..naona kama ziara huko site zimekuwa nyingi kupita kiasi.

..na kwanini mradi hujakamilika kwa kipande cha Dar to Moro?

..tazara ambayo inatoka Dar mpaka Kapirimposhi Zambia ilijengwa kwa miaka 5.

..najaribu kulinganisha na kipande cha sgr Dar to Moro.
 
Dogo utaendelea kuumia hadi utoke utumwani
..hivi wakandarasi wanapata muda wa kufanya kazi zao?

..naona kama ziara huko site zimekuwa nyingi kupita kiasi.

..na kwanini mradi hujakamilika kwa kipande cha Dar to Moro?

..tazara ambayo inatoka Dar mpaka Kapirimposhi Zambia ilijengwa kwa miaka 5.

..najaribu kulinganisha na kipande cha sgr Dar to Moro.
 
'…nikiondoka hii miradi itafanywa na nani?…sio kwamba najisifia, mbona haikufanyika huko kipindi cha nyuma?…nataka nikifa nikawe kiongozi wa Malaika…'~ Hayati Mzalendo namba moja
Kikwete anapenda kujisifia sana sasa anasema yeye alifanya kila kitu ikabaki utekelezaji, treni nayo alisema hivyo
 
Ramli isiyo na mashiko
Tahadhari:
Hiyo Stiglers Gorge ni kitendawili, yaweza malizika kujengwa nje ya muda na kusababisha cost overrun hata ya Mara 3 ya original bid. Then kukamilika ni kitu kimoja na kupata Megawati 2100 ni kitu kingine. Kumbuka umeme wa kutegemea maji hutegemea vilevile kudra za Mwenyezi Mungu.
Wacha kushona mbeleko kabla mtoto hajazaliwa. Ni mapema mno kusherehekea umeme wa Stiglers Gorge. Changamoto zilizoikumba miradi ya ya Mtera na Kihansi hamna namna Rufiji itazikwepa
 
Hili bwawa ni uchafu na wizi wa Shetani Magufuli Halitakua na tija yoyote tayari hapo lilipo ni white elephant.
CCM tunatumia nguvu nyiiingi kulibrand ila kiukweli ni uchafu wa kimataifa. Hapo ni kupaka rangi jeneza tuuu.
 
Hili bwawa ni uchafu na wizi wa Shetani Magufuli Halitakua na tija yoyote tayari hapo lilipo ni white elephant.
CCM tunatumia nguvu nyiiingi kulibrand ila kiukweli ni uchafu wa kimataifa. Hapo ni kupaka rangi jeneza tuuu.
Waambie huko warundi wenzako hivi, msituingilie wapumbavu nyinyi, Bwawa hilo linawahusu nini nyinyi wahutu??

Kwetu huku Tanzania ndiyo habari ya mjini, Tunatarajia kuwa na umeme mwingi, viwanda vitaongezeka na bidhaa zitakuwa na bei chipper, ajira kibao zitazaliwa, kilimo pembezoni mwa bwawa hilo, mazao yake yatatosha kulisha zaidi ya watu 10m

Na ukome kutuzoea, pumbavu zenyu
 
Back
Top Bottom