Status
Not open for further replies.
Swali ni je,akitoka madarakani hilo genge litadhibitiwaje?
 
Uzalendo ni kupenda nchi, sio kupenda serikali. Kuna Watanganyika walipenda serikali ya mkoloni
 
Endelea na ndoto yako usijirudishe nyuma.. jiongeze kimaarifa na kifikra utafika.

Magufuli 2020 hiyo haina ubishi.. oyeeeeee
Asante mkuu, ukweli bado ninayo hiyo ndiyo ingawa kimkakati Kuna sehemu nilikosea ila Mungu mkubwa naendelea vyema tuombe uzima..
 
Wadau karibuni tulijadili hili maana naona ni km Watanzania hatujui tunachokitaka. Jiwe gumu Kamgomoli
 
Uchapakazi sio alternative ya kufminya haki demokrasia na uhuru wa habari.., unaweza ukachapa kazi na bado usiminye demokrasia.., labda niulize features za makufuli ambazo unazikubali ni zipi na ambazo hazifai ni zipi na je zote ni package lazima ziende pamoja ?

Kwa yote mazuri aliyofanya kuna mabaya mengi, na kibaya zaidi hayo mabaya yalikuwa hayana ulazima..
 
Tulitaka Rais dicteta tumempata,watu wanalalamika tena wanataka bora yule waliemwita dhaifu arudi kama kungekuwa na uwezekano. Watanzania hatujui tunataka nini.
IMO yaani akitoka huyu aje dictator mwingine zaidi Ya Huyu ili tuendelee kuwa sawa.
Ndio uwezo wako wa kufikiri ulipoishia hapo!?
 
Tulitaka Rais dicteta tumempata,watu wanalalamika tena wanataka bora yule waliemwita dhaifu arudi kama kungekuwa na uwezekano. Watanzania hatujui tunataka nini.
IMO yaani akitoka huyu aje dictator mwingine zaidi Ya Huyu ili tuendelee kuwa sawa.
Kwa hiyo kumbe magufuli ni dictator ?


Mimi kama team lumumba napinga hili sio dictator jamaa kwani sifa za dikteta ni zipi we unazozijua

Mi siamini kami ni dikteta hebu tupe sifa za u dictator hapa
 
Tulitaka Rais dicteta tumempata,watu wanalalamika tena wanataka bora yule waliemwita dhaifu arudi kama kungekuwa na uwezekano. Watanzania hatujui tunataka nini.
IMO yaani akitoka huyu aje dictator mwingine zaidi Ya Huyu ili tuendelee kuwa sawa.
Nyani Ngabu anasema miafrika ndivyo iivyo.

Mimi nasema miafrika haiendi bila ya viboko.
 
Ateyekuja baada ya Magufuli ni mtihani ambao majibu yake tutayapata muda ukifika. Mungu atupe afya.
 
Kapenda jina na hiyo profile picture. Anadhani sura yako ndiyo hiyo. Hajui kuwa huyo ni actress wa Marekani.
Hahahahahah,nimefuatilia yeye opinion yake ni ipi kutokana na thread hapo juu?Sijaona. Yaani kaja moja kwa moja kuniuliza kama huo ndo mwisho wangu wa kufikiri. Nilitegemea ningemsoma hapo juu yeye fikra zake kuhusu maada zilikuwa ni zipi? Nakuta hola.
 
Tulitaka Rais dicteta tumempata,watu wanalalamika tena wanataka bora yule waliemwita dhaifu arudi kama kungekuwa na uwezekano. Watanzania hatujui tunataka nini.
IMO yaani akitoka huyu aje dictator mwingine zaidi Ya Huyu ili tuendelee kuwa sawa.
Mlimtaka wewe na nani?
 
Tulitaka Rais dicteta tumempata,watu wanalalamika tena wanataka bora yule waliemwita dhaifu arudi kama kungekuwa na uwezekano. Watanzania hatujui tunataka nini.
IMO yaani akitoka huyu aje dictator mwingine zaidi Ya Huyu ili tuendelee kuwa sawa.
Binadamu unaishi mara moja tu. Kwanini uishi maisha yasiyokuwa na amabi ? Huku unafikiri wasiyojulikana na huna uhakika Kesha utakuwa mzima siyo kwa rehema ya Mungu la, wanaweza kuwa wanataka kumshoot Lisu mwingine risasi ikakupata wewe. Kumbuka hiyo risasi haichagui uwe wa kusifu na kuabudu au siyo.
Hatukuzoea kuona polisi wanarusha risasi bila mipangilio kama awamu hii. Tulikuwa tunasikia South Africa wakati wa apartheid tunawashangaa wanaishije.
Mungu mwenye huruma tusamehe makosa yetu uturudishie amani tuliyoizoea
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…