Wenye nyumba tupo, nilijua hii itakuwa moja ya game ngumu sana.Lakini nafikiri tumefungwa wakati muafaka hii itatusaidia kuamka maana tulianza kusahau kufungwa
Hakuna siku zote anayependa matokea mabaya ila kwa vile yanakuja inabidi tu yapokelewe kama yalivyo.Poleni wakuu mbio za ubigwa bado sana..Naona mlisahau kutia maji wakati vijana wangu walipokuwa wananyolewa.Manda uko wapi leo utupe udadavuzi wa mechi ilivyokuwa..............na wapi SAF arekebishe........jamaa naona wamelipiza kisasi
Matokeo kama haya ndio yanamkimbiza kabisaa Mkuu Icadon................
Acha kujidanganya na wewe game hizo ngumu ndo za kushinda na hizo unazoziona rahisi ndo watu huwa wanaacha manyoya.man bado amebakiwa na mechi ngumu, chelsea amebakiwa na mechi ngumu pia, hivyo ubingwa lazima uende emirates - watch this space!
Huku kuna msiba! Poleni sana
Acha kujidanganya na wewe game hizo ngumu ndo za kushinda na hizo unazoziona rahisi ndo watu huwa wanaacha manyoya.
Naomba wale wenzangu wa kutoka Old Trafford tuendelee kushangilia ushindi wa leo. Tuendelee kuzibua vizibo.
Tumeona mchezo wa vijana wapya, Pique na Simpson.
Kanyaga twende.
Poleni sana Man Utd...Niliwaambia ligi ya mwaka huu ni ngumu haijawahi tokea...Kuna timu za kuangalia sana unapokutana nazo Everton,Aston Villa,Tottenham na Man City,hawa jamaa hawatabiriki hata kidogo unapokutana nao...Asanteni kwa kutupa nafasi ya kuendelea kuunyemelea ubingwa