Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

........kitabu cha rambirambi nadhani bado hakijafungwa....poleni sana naon jamaa wamewatafuna jicho......!
 
Fergi anasema ati fatigue ndio tatizo alisahau kwamba hata Everton walicheza mechi siku ile huyu kibabu hakubali tu kwamba Rooney akishikwa hawana njia nyingine ya kucheza. wajiandae tu J4 wasiaibike tena.
 
I knew BAK utakuja kushangilia..ha ha ha!!Ndo hivyo ila kimeniuma kweli hicho kipigo..agrrrr!!
Nasubiri mechi yenu:-D

Hahahahaha pole sana BJ najua kimekuuma sana kipigo hicho, lakini cha kufurahia ni kwamba bado mnashikilia nafasi yenu ya pili 🙂. Najua unasubiri mechi yetu tutakayopata kipigo kwa hamu kuu ili uje kutusanifu. Katika mechi ambazo tumebakisha nazihofia sana tatu na Tottenham, Hull City (hawa hutukamia sana) na ManCity lakini zilizobaki tunatakiwa tushinde zote lakini kama unavyotujua sisi wakati mwingine hupoteza mechi ambazo tungestahili kushinda. Nafurahia sana upenzi wako maana ni lazima utashuka tu hapa jamvini hata kama mmepata kipigo, lakini wengine (akina fulani 🙂 ) hununaaa! hata kuongea hawataki kabisa mpaka madonge yao yawashuke.
 
Manda uko wapi leo utupe udadavuzi wa mechi ilivyokuwa..............na wapi SAF arekebishe........jamaa naona wamelipiza kisasi

Matokeo kama haya ndio yanamkimbiza kabisaa Mkuu Icadon................

Hawarudi tena hapa jukwaani hadi J2 ijayo wakiweza kuwathibiti Aston Villa sivyo ni marehemu tu hawa.
 
Hawarudi tena hapa jukwaani hadi J2 ijayo wakiweza kuwathibiti Aston Villa sivyo ni marehemu tu hawa.
Nipo bruh!, ni vile JF, ilipotea hewan, sikuweza kui-access kwa PC yangu tangu jana mchana, na the whole mchana. Kama mfuatiliaji wa ukweli waweza kuwa ushajua kuwa Man Utd fans hususani wa umu JF wana spirit ya ajabu, huwa hatutetereki, sahau Kukimbia. Shetani wa ukweli hawa-disappt. na game moja/mbili bruh!, sisi sio nyie..Lol!
 
Manda uko wapi leo utupe udadavuzi wa mechi ilivyokuwa..............na wapi SAF arekebishe........jamaa naona wamelipiza kisasi

Matokeo kama haya ndio yanamkimbiza kabisaa Mkuu Icadon................

Ogah!

Game ya jana kiukweli kuanzia dakika ya 35 (after kwa wao kusawazisha), nkaanza kuhisi leo hatuna chetu hapa, nadhani tulikuwa off-fomu kabisa, our players walikuwa chini ya kiwango, naungana na SAF kuwa we were 2nd best, Everton deserved the win. Matokeo ya mwisho hayakunstua...
At the end of the day, thats football, we are down leo, kesho tutakuwa juu, na hawa huyu mtoto aliyetufunga naona anatafuta sajiliwa na sie, coz tuna historia ya kusajili wachezaji walio tupa headache; Examples include Everton (Wayne Rooney), Fulham (Louis Saha – after he scored against United and later joined them, and Edwin van der Sar), Tottenham (Dimitar Berbatov and Michael Carrick) and Wigan (Antonio Valencia). It’s a smart transfer strategy because you make sure the smaller clubs will never break into the Big Four. But it also prevents those players being bought by rival clubs, and makes sure that those players won’t embarrass United again.😡😡😡

BTW; Icadon i thnk hutembelea hapa kama guest, mkuu twakusalimu!
 
Hawarudi tena hapa jukwaani hadi J2 ijayo wakiweza kuwathibiti Aston Villa sivyo ni marehemu tu hawa.

Mkuu wana mechi nyingine J'tano na West Ham, na J'pili wanakipiga na Aston Villa kwenye Carling cup, hapa kuna uwezekano wa kichapo kingine maana AV nayo ni moto wa kuotea mbali na pia wanajiamini kwamba wanaweza kuifunga timu yeyote ile.
 
Angalao jana Simba walinifanya wikiend isiwe mbaya kushinda zote.
BTW: Chelsick, don count us out.....after all we are still UNITED!
 
Inabidi wiki ijayo kuanza kubeba kombe la kwanza
 
Angalao jana Simba walinifanya wikiend isiwe mbaya kushinda zote.
BTW: Chelsick, don count us out.....after all we are still UNITED!
Hiyo 'thanks' inahusisha last sentence ONLY.....!!
 
It's nt over till its over......msg sent....msg delivered. Cong's Devils of OT!..!
 
_47361596_wayne766.jpg


Naona huyu jamaa wamempa muarobaini - sijui utafanya kazi kwa Villa?
 
_47361469_valencia766.jpg



Antonio Valencia

Haya bwana tutaona May mtakuwa kwenye sehemu gani?
 
Huyu Rooney sasa ni moto wa kuotea mbali. Yeye na Jermaine Defoe wakitulia kwenye World Cup na kama wakiweza kucheza pamoja basi safu ya mashambulizi ya UK itakuwa ni tishio kubwa na wanaweza kufika mbali sana kwenye mashindano hayo.
 
Huyu Rooney sasa ni moto wa kuotea mbali. Yeye na Jermaine Defoe wakitulia kwenye World Cup na kama wakiweza kucheza pamoja basi safu ya mashambulizi ya UK itakuwa ni tishio kubwa na wanaweza kufika mbali sana kwenye mashindano hayo.

Let's hope for the best sir.
 
Back
Top Bottom