Kwetu hata Chelsea ni vibonde
Mnacheza na vibonde ndo mjisifu? Ngojeni tarehe26 mwezi huu USO kwa USO na Chelsea ya Mourinho
Ooops hata Henry oops huyu ndio mwenye usukani wa koser fools alichema ... .''what do they smoke at the Emirates'' Chacha ndo nchemaji wa loser fools. kwa hiyo usijali nikivuta nyota .... .. yote msingizieni Prof.
BTW Chelsick na chacha Man Chitty wanawachubiri mjiunge nao kwenye kuwania timu bora kuwa na mameneja wengi, hadi chacha Chelsick wanaongoza kwa kubadili mara 10, Moya ntafukuza baada ya kufungwa mechi ngapi?
Duh Belinda kikombe chenyewe ni cha mbuzi na vibonde Wigan walishashuka daraja.
maswahiba zangu Belo, Nzi pamoja na BJ nakusalimieni tu ligi inaanza banter za hapa na pale kama kawaida....aaah Belo haijalishi historia na tuangalie itakapofika May tukijaaliwa......!Mkuu,
Sisi ndio bingwa mtetezi wa EPL,na leo tumechukua ngao ya hisani,tueleze nyie mara ya Mwisho walau kombe la mbuzi mlichukua lini
Duh Belinda kikombe chenyewe ni cha mbuzi na vibonde Wigan walishashuka daraja.