mfarisayo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 5,160
- 2,004
Si uliona kule far-east kazi waliyokuwa wanafanya kusign autographs tu khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, mi napenda moyes amkomalie Cesc tu .... ..... ... ili atinge Emirates .... ..patamu hapo!
BTW mkataba wa Cesc kama akiuzwa kwa timu yoyote ile Gunners wanachukua 50% ya mshiko, kwa hiyo mwambie Moya aweke dau si chini ya £50 million hiyo ndio bei Gunners watatoa kama wakimhitaji lakini akienda Manure utajijua menyewe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Vipi dozi zenu za pre season bado zinaendelea???