Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Naona katika match 3 za pre-season Moyes kashalambishwa sakafu mara mbilli, leo kuna kitimu huko Japan kimewachapa goal 3 -2,
bila ya kusahau kua vijamaa vimefunga magoal 4 ktk hiyo game, team ya Moyes imefunga goal moja tu na jingine walisaidiwa na wajapan wenyewe.

Mchezaji nyota/ man of the match alitokea Yokohama, bwana Andrew KUMAGAI!
 
Naona katika match 3 za pre-season Moyes kashalambishwa sakafu mara mbilli, leo kuna kitimu huko Japan kimewachapa goal 3 -2,
bila ya kusahau kua vijamaa vimefunga magoal 4 ktk hiyo game, team ya Moyes imefunga goal moja tu na jingine walisaidiwa na wajapan wenyewe.

Mchezaji nyota/ man of the match alitokea Yokohama, bwana Andrew KUMAGAI!
Hii ni Pre-season mkuu watu still wana hangover kumbuka Arsenal huwa anagawa dozi sana Preseason but msimu wa 9 unakuja wanaendelea kuwa wasindikizaji
 
Taarabt Moyes angemcheki huyu jamaa ni kiungo na mshambuliaji wa kweli na anaweza kupatikana kwa hela ndogo sana around £4.5 million hv
 
Taarabt Moyes angemcheki huyu jamaa ni kiungo na mshambuliaji wa kweli na anaweza kupatikana kwa hela ndogo sana around £4.5 million hv
Atacheza wapi while wapo Kagawa,Rooney,RVP,Chicharito,Zaha na wengineo na kumbuka so far hakuna mchezaji hata mmoja aliyeuzwa
 
Atacheza wapi while wapo Kagawa,Rooney,RVP,Chicharito,Zaha na wengineo na kumbuka so far hakuna mchezaji hata mmoja aliyeuzwa

Jamaa ni mzuri kwenye kiungo cha Kushambulia, anaweza kucheza mbele ya Carick. Kumbuka tulikuwa na tatizo la Kiungo hadi kufikia hatua ya kumrudisha Schools, Anderson na Cleverly wamekuwa hawapo kwenye kiwango kwa muda mrefu.
 
Jamaa ni mzuri kwenye kiungo cha Kushambulia, anaweza kucheza mbele ya Carick. Kumbuka tulikuwa na tatizo la Kiungo hadi kufikia hatua ya kumrudisha Schools, Anderson na Cleverly wamekuwa hawapo kwenye kiwango kwa muda mrefu.
Taarabt anacheza winger na mawinga wamejaa au namba 10,hata hivyo sioni kama kiwango chake ni cha kuchezea ManU
Tuna Shinji Kagawa ambaye nafikiri anapaswa kupewa nafasi zaidi kuliko msimu uliopita,Kagawa pia ana uwezo mkubwa wa kufunga magoli.Nafikiri Moyes alipaswa amuuze Rooney ili wachezaji kama Kagawa na Chicharito wapate nafasi then anunue kiungo mkabaji nafikiri Fellaini angetufaa
 
Ndugu zangu wa man utd sijui why Moyes anamng'ang'ania Fabregas, nafikiri imefika mahali sasa angalie another choice kuliko kuendelea na mchezaji ambae club yake haitaki kumuuza
 
Ndugu zangu wa man utd sijui why Moyes anamng'ang'ania Fabregas, nafikiri imefika mahali sasa angalie another choice kuliko kuendelea na mchezaji ambae club yake haitaki kumuuza


Wacha atufanyie kazi ya kumrudisha CescEmirates bana, mbona una chuki hivyo?
 
Mbali na Gerald Pique ambaye alikuwa Man U kwa bahati mbaya......hivi kuna mchezaji wa kispanish aliyeko kwa mashetani wekundu sasa hivi kweli.......mbona ManU wanaonekana wako desparate kumpata Cesc!.......
 
Hahahah wewe jamaa sijui umetokea wapi?? Nasikia Wenger anataka kumsajili mtoto wa Prince Willium


Ndio umbeya wenyewe huo umesikia wapi? Kajitu kamejiandikisha eti kwa jina lake halisi halafu kanatoa pumba na kujiita Great tinker ... .... .. are you real? Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Mnacheza na Prof someni mkataba wa Cesc kwenda Barca ndipo mtafahamu what I mean, mengine ni maloloso tu .... nashangaa kumbe mnatamani mambo ya Prof. ..... .... lakini huwa ni ujeuri wa kijinga tu kumponda .... ....

BTW Cesc hawezi mambo ya ushoga khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ..... ukishabikia mashoga na wewe tuna wasiwasi huenda ni shoga.
 
Wacha1 wewe ndio chakula wenzako wanakupakua dalili zote za kupakuliwa unazo! Hauoni unavyojichekesha chekesha ovyo ovyo kama upo period!
 
Last edited by a moderator:
Wacha1 wewe ndio chakula wenzako wanakupakua dalili zote za kupakuliwa unazo! Hauoni unavyojichekesha chekesha ovyo ovyo kama upo period!


Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ..... ....... ..... ... khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Wacha1 wewe ndio chakula wenzako wanakupakua dalili zote za kupakuliwa unazo! Hauoni unavyojichekesha chekesha ovyo ovyo kama upo period!

Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ..... ....... ..... ... khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nicheke mie ..... ..

PAUL-SCHOLES-GARY-NEVILLE-KISS-GAY-ESPN.jpg



PAUL-SCHOLES-GARY-NEVILLE-KISS-GAY-ESPN.jpg



Mashoga mtindo moja
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Naona
Godlisten Masawe anashabikia Ushoga
Kheee khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


BTW lete ushahidi chacha wa mimi kuwa shoga ..... ..... au weye chio great tinker?
 
PAUL-SCHOLES-GARY-NEVILLE-KISS-GAY-ESPN.jpg



Nachubiri majibu toka kwa Mashoga ... .... .. .... ...
Khe khe khe mkheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
PAUL-SCHOLES-GARY-NEVILLE-KISS-GAY-ESPN.jpg



Nachubiri majibu toka kwa Mashoga ... .... .. .... ...
Khe khe khe mkheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

We nawe kwa vijembe.
Haya soma hii
^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^
Man Utd to sign Fabregas.
Chelsea to sign Rooney.
Madrid to sign Suarez.
Napoli to sign Higuain and
Arsenal to sign autographs.

Siku njema
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
 
We nawe kwa vijembe.
Haya soma hii
^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^
Man Utd to sign Fabregas.
Chelsea to sign Rooney.
Madrid to sign Suarez.
Napoli to sign Higuain and
Arsenal to sign autographs.

Siku njema
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>

Si uliona kule far-east kazi waliyokuwa wanafanya kusign autographs tu khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, mi napenda moyes amkomalie Cesc tu .... ..... ... ili atinge Emirates .... ..patamu hapo!



BTW mkataba wa Cesc kama akiuzwa kwa timu yoyote ile Gunners wanachukua 50% ya mshiko, kwa hiyo mwambie Moya aweke dau si chini ya £50 million hiyo ndio bei Gunners watatoa kama wakimhitaji lakini akienda Manure utajijua menyewe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom