Magwaya ana nini ambacho sie fans hatukioni ?

Pia ETH hamuelewi pia ndo maana anampiga benchi!

Huyu mwamba timu ya taifa hakosekani na anapangwa ,,,, ! Au ni aina ya watu anaocheza nao ? Ni sawa na Fred kwa Brazil!

Kina Mings, Tomori n.k Wana viwango kumzidi jamaa lakini hawaitwi Mara kwa Mara national team !, Hata Smalling kule roma anafanya vizuri Sana chini ya mourhinho

Chief-Mkwawa
Mings mkuu? Reverse role ya Maguire na Mings jana leo ingekuwa ni full matusi kwa Maguire humu ndani. Kahusika sana kutuzawadia yale magoli.

Na mechi zote toka arudi majeruhi kama Jana, West ham etc amecheza vizuri.

Na Maguire sio kinda kwamba ameanza leo, ni CB bora wa Uingereza World cup 2018 na Euro iliopita kuna maajabu gani akienda na World cup hii?.
 
Mings mkuu? Reverse role ya Maguire na Mings jana leo ingekuwa ni full matusi kwa Maguire humu ndani. Kahusika sana kutuzawadia yale magoli.

Na mechi zote toka arudi majeruhi kama Jana, West ham etc amecheza vizuri.

Na Maguire sio kinda kwamba ameanza leo, ni CB bora wa Uingereza World cup 2018 na Euro iliopita kuna maajabu gani akienda na World cup hii?.
Umerefer Sana form ya zaman,,, sawa Jana kacheza vizuri !!!

VP tomori na Smalling ? Sio kwamba Gareth anafanya gambling ?
 
Umerefer Sana form ya zaman,,, sawa Jana kacheza vizuri !!!

VP tomori na Smalling ? Sio kwamba Gareth anafanya gambling ?
Makocha wote hao mkuu wanachukua wachezaji wanaofit mifumo yao. Mfano Enrique hajamchukua De gea sababu hawezi kufanya Build up kutoka nyuma.

Southgate tunajua fika anaenda paki basi la maana huko Qatar, Maguire anafit sana huu mfumo sababu unaficha weakness yake ya kutokua na speed, pia Southgate anatumia beki wa 3 sometime wa kati, inakuwa rahisi hata Maguire akipanda kunakuwa na cover.

Flop wetu wote wameshine ligi ya Italia mkuu, sio necessary kwamba Smalling na Tomori ni wachezaji wazuri kuliko Maguire.
 
Makocha wote hao mkuu wanachukua wachezaji wanaofit mifumo yao. Mfano Enrique hajamchukua De gea sababu hawezi kufanya Build up kutoka nyuma.

Southgate tunajua fika anaenda paki basi la maana huko Qatar, Maguire anafit sana huu mfumo sababu unaficha weakness yake ya kutokua na speed, pia Southgate anatumia beki wa 3 sometime wa kati, inakuwa rahisi hata Maguire akipanda kunakuwa na cover.

Flop wetu wote wameshine ligi ya Italia mkuu, sio necessary kwamba Smalling na Tomori ni wachezaji wazuri kuliko Maguire.
ok ok najaribu kukuelewa. !!!!
 
Una uhakika au umeropoka tu
Nov 10, 2022. Man Utd vs A.Villa
FB_IMG_16681943959258734.jpg
 
Ndy maisha sio rahis huku ufany biashara bure na hasara zipo lkn sio risk San tofaut na biashara nyingine miaka kumi10 ijayo nd utapata elimu hii alafu utasema ulikuwa wap hpo ndipo utanikumbuka mm lkn sijaandika mahali ambaopo namlazimisha mtu ila kama mtu ataona tija atanitafuta
Nipo kwenye forex trading huu mwaka wa 7.

Najua ninachosema.

Hakuna maisha marahisi huu upande. Kupata hela yake lazima jasho likutoke haswa.
 
Haji january. Sidhani kama tutafanya usajili wowote.

Wachezaji watakuwa wametoka WC na majeruhi kibao. Timu zao hazitakubali kuwaachia key players wakati wana milima ya kupanda.

Dirisha kubwa lijalo tutafanya sajili nyingi tu. Mikataba inaisha na wengine wanatimuliwa.
Kwa vyovyote vile I wish CR7 tumrelease this January.
 
Back
Top Bottom