Mings mkuu? Reverse role ya Maguire na Mings jana leo ingekuwa ni full matusi kwa Maguire humu ndani. Kahusika sana kutuzawadia yale magoli.Magwaya ana nini ambacho sie fans hatukioni ?
Pia ETH hamuelewi pia ndo maana anampiga benchi!
Huyu mwamba timu ya taifa hakosekani na anapangwa ,,,, ! Au ni aina ya watu anaocheza nao ? Ni sawa na Fred kwa Brazil!
Kina Mings, Tomori n.k Wana viwango kumzidi jamaa lakini hawaitwi Mara kwa Mara national team !, Hata Smalling kule roma anafanya vizuri Sana chini ya mourhinho
Chief-Mkwawa
Umerefer Sana form ya zaman,,, sawa Jana kacheza vizuri !!!Mings mkuu? Reverse role ya Maguire na Mings jana leo ingekuwa ni full matusi kwa Maguire humu ndani. Kahusika sana kutuzawadia yale magoli.
Na mechi zote toka arudi majeruhi kama Jana, West ham etc amecheza vizuri.
Na Maguire sio kinda kwamba ameanza leo, ni CB bora wa Uingereza World cup 2018 na Euro iliopita kuna maajabu gani akienda na World cup hii?.
Makocha wote hao mkuu wanachukua wachezaji wanaofit mifumo yao. Mfano Enrique hajamchukua De gea sababu hawezi kufanya Build up kutoka nyuma.Umerefer Sana form ya zaman,,, sawa Jana kacheza vizuri !!!
VP tomori na Smalling ? Sio kwamba Gareth anafanya gambling ?
ok ok najaribu kukuelewa. !!!!Makocha wote hao mkuu wanachukua wachezaji wanaofit mifumo yao. Mfano Enrique hajamchukua De gea sababu hawezi kufanya Build up kutoka nyuma.
Southgate tunajua fika anaenda paki basi la maana huko Qatar, Maguire anafit sana huu mfumo sababu unaficha weakness yake ya kutokua na speed, pia Southgate anatumia beki wa 3 sometime wa kati, inakuwa rahisi hata Maguire akipanda kunakuwa na cover.
Flop wetu wote wameshine ligi ya Italia mkuu, sio necessary kwamba Smalling na Tomori ni wachezaji wazuri kuliko Maguire.
Facundo Pellistri inakuaje anaitwa timu ya taifa huku kwetu hapewi muda wa kucheza?
yupo Man U na kila siku yupo Bench, issue ni Discipline ndogo kama Garnancho, hawa watoto wakipata umaarufu kidogo wanaona wamefika.Nadhani yuko kwa mkopo timu nyingine
Una uhakika au umeropoka tuyupo Man U na kila siku yupo Bench, issue ni Discipline ndogo kama Garnancho, hawa watoto wakipata umaarufu kidogo wanaona wamefika.
Nov 10, 2022. Man Utd vs A.VillaUna uhakika au umeropoka tu
Kuna watu wanapenda kubishana mkuu...Nov 10, 2022. Man Utd vs A.VillaView attachment 2413872
Nipo kwenye forex trading huu mwaka wa 7.Ndy maisha sio rahis huku ufany biashara bure na hasara zipo lkn sio risk San tofaut na biashara nyingine miaka kumi10 ijayo nd utapata elimu hii alafu utasema ulikuwa wap hpo ndipo utanikumbuka mm lkn sijaandika mahali ambaopo namlazimisha mtu ila kama mtu ataona tija atanitafuta
Haji january. Sidhani kama tutafanya usajili wowote.Unafikiri Gapko atakuja january?
Kwa vyovyote vile I wish CR7 tumrelease this January.Haji january. Sidhani kama tutafanya usajili wowote.
Wachezaji watakuwa wametoka WC na majeruhi kibao. Timu zao hazitakubali kuwaachia key players wakati wana milima ya kupanda.
Dirisha kubwa lijalo tutafanya sajili nyingi tu. Mikataba inaisha na wengine wanatimuliwa.
We utakuwa umepigwa Ela zako sa unataka na wengine waingie upatepo bonus.Utajuwa wewe ila mm ndonajua nmefika level Gani ya maisha na pia tupo humu utakuja kunisikia hii wazako wakiwa mbali
hahahahaha umechanganyikiwa bosYani hyu mjuaj anizid maisha ata robo hii hii trade bayofanya nalisha familia yako nzima
Ili tushinde njaakwani nyie manjestaa munacheza ligi ili mushinde nini?
manjestakwani nyie manjestaa munacheza ligi ili mushinde nini?
Labda apate timu nyingine mapema. Kinyume cha hapo sidhani.Kwa vyovyote vile I wish CR7 tumrelease this January.