Upo sahihi 100%, ona Chelsea walitumia £300m kusajiri wachezaji ambao hawakujiandaa nao watacheza Aina gan ya football ,hawakuwa na DOF , Sasa hivi ukiambiwa Chelsea imemsajiri Cucurella £62m au Sterling £50m unaweza kubisha
Man u nawatamaniaga Sana mabosi wenu pesa wanamwaga tu ,dirisha moja mnatumia had £250m
Pale Arsenal Ni msimu juz Ndio Arteta Alipewa £150m
Msimu huu £120m
Newcastle nilisoma article moja jamaa wamejipanga kwenye Timu Yao kuanzia DOF had Kocha ,Ni Aina gan ya mpira wacheze na wachezaji gani wasajiriwe
Niliona wanazingatia hasa physicality, height , Ndio maana jamaa timu Yao haina mafundi wengi ukiacha kidogo kina Almiron, Maximin Hawa wazaman, ila kuanzia kina Burn, Botman hata Guimares wapo Vizuri kwenye physicality,
Wanasajiri kuendana na DOF , na Kocha anasemaje
Mtu anaweza kusema Ni sababu Wana pesa
Kuna Northgarm Forrest wametumia £155m msimu huu na wolves wametumia £150m , lakin wapo mkiani, Kama Forrest wamejisajiria ovyo ovyo,