Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu labda nikueleweshe as tunafanya pair mbili index na crypto lkn ktk index tunatrade items ya eci na ewd hyo crypto kw mwez mara Moja kutokana na analysis zao hawatupi mara nying kwhy as tunapata San uhakika wa faida hupo humu Kuna maisha
crypto inajulikana, Eci na EWD ni nini?
 
Huko ughaibuni kampuni kibao za crypto zimefilisika, bitcoin imeshuka toka milioni 150 mpaka 40, faida gani ambayo ipo kwenye crypto? watu wanauza machine zao za kuchimbia crypto sababu hailipi.
Unazungumziaje performance ya mactominay jn??
 
Mkuu labda nikueleweshe as tunafanya pair mbili index na crypto lkn ktk index tunatrade items ya eci na ewd hyo crypto kw mwez mara Moja kutokana na analysis zao hawatupi mara nying kwhy as tunapata San uhakika wa faida hupo humu Kuna maisha
Nafasi anayopewa garnacho kwann prllistri hapewi??
 
Ho ni hisa za masoko ya ulaya kaka
just ushauri mkuu, tafuta kazi, hisa watu hawanunui hisa kutajirika atleast mitaji yetu hii, S&P 500 hisa zimeshuka kwa asilimia 15 ndani ya huu mwaka, kina FB, Apple, Microsoft na makampuni yote makubwa hisa zinashuka, hali mbaya dunia nzima wapi utapata hela za kirahisi hivyo?
 
just ushauri mkuu, tafuta kazi, hisa watu hawanunui hisa kutajirika atleast mitaji yetu hii, S&P 500 hisa zimeshuka kwa asilimia 15 ndani ya huu mwaka, kina FB, Apple, Microsoft na makampuni yote makubwa hisa zinashuka, hali mbaya dunia nzima wapi utapata hela za kirahisi hivyo?
Wewe kujua kwingi alafu ujui ata napokwambia nafany eci na ewd ujui ni kitu gani we umekalia kupinga hya masoko yanatoa price yke high volatility ndoma wanapenda kuyatumia Sasa wewe FX yenyewe umeadisiwa unataka kujifanya mjuaji we unajua kw siku naingiza bei gani yan nch nying km Afghanistan Nigeria south Africa Canada USA UK na mataifa mengine hao watu wake we unawazid akiri wewe umeridhika kuw masikin anayetaka kupiga hatua Moja kwenda hatua nyingine atanitafuta na uzuri watu 6 washanitafuta na nishawapa maelekezo wameelewa na uthibitisho na research zao wameona hiki kitu ni Cha kweli we Kaa kimya kama utak usipoteshe uma
 
Vijana weng na mtfe inaenea kwa Kasi watoto wadogo manamilik magari nyumba za kifahari kwajili ya mtfe Sasa wewe Kaa hivyo hivyo kujifanya mjuaji
IMG-20221111-WA0019.jpg
IMG-20221108-WA0006.jpg
IMG-20221111-WA0007.jpg
IMG-20221107-WA0023.jpg
IMG-20221106-WA0016.jpg
IMG-20221025-WA0015.jpg
IMG-20221020-WA0005.jpg
PXL_20220910_195532271.MP.jpg
IMG-20221020-WA0004.jpg
IMG-20221020-WA0005.jpg
IMG-20221020-WA0009.jpg
 
just ushauri mkuu, tafuta kazi, hisa watu hawanunui hisa kutajirika atleast mitaji yetu hii, S&P 500 hisa zimeshuka kwa asilimia 15 ndani ya huu mwaka, kina FB, Apple, Microsoft na makampuni yote makubwa hisa zinashuka, hali mbaya dunia nzima wapi utapata hela za kirahisi hivyo?
Yani hyu mjuaj anizid maisha ata robo hii hii trade bayofanya nalisha familia yako nzima
 
Unafikiri Gapko atakuja january?
I doubt mkuu, ujue Gapko ni Kama Rashford na Garnacho anatokea kushoto, kwa kiwango anachoonesha Garnacho sidhani kama atakuja mtu. Labda kama ETH anataka ambadili awe striker wa kati, maana ndio eneo ambalo tunatakiwa tusajili sababu Martial majeruhi na Ronaldo tia maji tia maji.
 
Mkuu labda nikueleweshe as tunafanya pair mbili index na crypto lkn ktk index tunatrade items ya eci na ewd hyo crypto kw mwez mara Moja kutokana na analysis zao hawatupi mara nying kwhy as tunapata San uhakika wa faida hupo humu Kuna maisha
Sijui hata kama unaelewa unachoandika anyway humu ni uzi wa mpira.
 
Jamaa kasema Ni ushauri tu ingetosha kuuchukua au kuacha Sasa Kama umepanic hivi Mambo ya kulisha familia yake Tena yanatoka wapi,,huwezi kua na hela ukabehave hivo
Utajuwa wewe ila mm ndonajua nmefika level Gani ya maisha na pia tupo humu utakuja kunisikia hii wazako wakiwa mbali
 
Wewe kujua kwingi alafu ujui ata napokwambia nafany eci na ewd ujui ni kitu gani we umekalia kupinga hya masoko yanatoa price yke high volatility ndoma wanapenda kuyatumia Sasa wewe FX yenyewe umeadisiwa unataka kujifanya mjuaji we unajua kw siku naingiza bei Gani ysna chin nying km Afghanistan Nigeria south Africa Canada USA UK na mataifa mengine we watu wake we unawazid akiri wewe umeridhika kuw masikin anayetaka kupiga hatua Moja kwenda hatua nyingine atanitafuta na uzuri watu 6 washanitafuta na nishawapa maelekezo wameelewa na uthibitisho na research zao wameona hiki kitu ni Cha kweli we Kaa kimya kama utak usipoteshwe uma
Jifunze kuandika vizuri
IMG_20221026_155844.jpg
 
Toa upuuzi wako hapa jukwaani, Kama unapiga hela si zako ? Wewe Dada vp

Unapewa usharudi unapanic, kuandika kwenyewe hujui !
 
Back
Top Bottom