Timu imeconcede goli mbili af anasifia beki kacheza vizurMaguire amecheza vizuri sio..Okay.
Timu imeconcede goli mbili af anasifia beki kacheza vizurMaguire amecheza vizuri sio..Okay.
Huko ughaibuni kampuni kibao za crypto zimefilisika, bitcoin imeshuka toka milioni 150 mpaka 40, faida gani ambayo ipo kwenye crypto? watu wanauza machine zao za kuchimbia crypto sababu hailipi.Tatizo wabongo Kila kitu tunajifanya alafu tunajua ambaye Yuko teyar kujifany ajui na kupokea maarifa ndiye atakuw mjanja ujanja sio kujifany unajua kile ambacho ujui
Mkuu labda nikueleweshe as tunafanya pair mbili index na crypto lkn ktk index tunatrade items ya eci na ewd hyo crypto kw mwez mara Moja kutokana na analysis zao hawatupi mara nying kwhy as tunapata San uhakika wa faida hupo humu Kuna maishaHuko ughaibuni kampuni kibao za crypto zimefilisika, bitcoin imeshuka toka milioni 150 mpaka 40, faida gani ambayo ipo kwenye crypto? watu wanauza machine zao za kuchimbia crypto sababu hailipi.
Hii issue nayofany hakuna ndugu yang niliyemuacha nyuma na mm ukiacha licha upendo ww unapotrade na mm unanipa commission ndomana me natangaza tuArsenal hatuna shabiki wa hivo, Huyo ni tapeli anatafuta wafuasi humu,kuweni makin
Kama Forex ina hela kwanini asiwashauri ndugu zake na ukoo wake watajirike ,ana upendo gani Hadi aje awape dili humu
crypto inajulikana, Eci na EWD ni nini?Mkuu labda nikueleweshe as tunafanya pair mbili index na crypto lkn ktk index tunatrade items ya eci na ewd hyo crypto kw mwez mara Moja kutokana na analysis zao hawatupi mara nying kwhy as tunapata San uhakika wa faida hupo humu Kuna maisha
Unazungumziaje performance ya mactominay jn??Huko ughaibuni kampuni kibao za crypto zimefilisika, bitcoin imeshuka toka milioni 150 mpaka 40, faida gani ambayo ipo kwenye crypto? watu wanauza machine zao za kuchimbia crypto sababu hailipi.
Nafasi anayopewa garnacho kwann prllistri hapewi??Mkuu labda nikueleweshe as tunafanya pair mbili index na crypto lkn ktk index tunatrade items ya eci na ewd hyo crypto kw mwez mara Moja kutokana na analysis zao hawatupi mara nying kwhy as tunapata San uhakika wa faida hupo humu Kuna maisha
DuaMkuu inatosha,mwenye interest atakutafuta.
Ho ni hisa za masoko ya ulaya kakacrypto inajulikana, Eci na EWD ni nini?
sio jana tu, toka msimu uanze anacheza vizuri, rotation nzuri sana ya Casemiro, Mc tominay akicheza Mbele anakuwa na perfomance nzuri zaidi kuliko akikaa nyuma.Unazungumziaje performance ya mactominay jn??
just ushauri mkuu, tafuta kazi, hisa watu hawanunui hisa kutajirika atleast mitaji yetu hii, S&P 500 hisa zimeshuka kwa asilimia 15 ndani ya huu mwaka, kina FB, Apple, Microsoft na makampuni yote makubwa hisa zinashuka, hali mbaya dunia nzima wapi utapata hela za kirahisi hivyo?Ho ni hisa za masoko ya ulaya kaka
Tumepewa Burnley.

Unafikiri Gapko atakuja january?sio jana tu, toka msimu uanze anacheza vizuri, rotation nzuri sana ya Casemiro, Mc tominay akicheza Mbele anakuwa na perfomance nzuri zaidi kuliko akikaa nyuma.
Wewe kujua kwingi alafu ujui ata napokwambia nafany eci na ewd ujui ni kitu gani we umekalia kupinga hya masoko yanatoa price yke high volatility ndoma wanapenda kuyatumia Sasa wewe FX yenyewe umeadisiwa unataka kujifanya mjuaji we unajua kw siku naingiza bei gani yan nch nying km Afghanistan Nigeria south Africa Canada USA UK na mataifa mengine hao watu wake we unawazid akiri wewe umeridhika kuw masikin anayetaka kupiga hatua Moja kwenda hatua nyingine atanitafuta na uzuri watu 6 washanitafuta na nishawapa maelekezo wameelewa na uthibitisho na research zao wameona hiki kitu ni Cha kweli we Kaa kimya kama utak usipoteshe umajust ushauri mkuu, tafuta kazi, hisa watu hawanunui hisa kutajirika atleast mitaji yetu hii, S&P 500 hisa zimeshuka kwa asilimia 15 ndani ya huu mwaka, kina FB, Apple, Microsoft na makampuni yote makubwa hisa zinashuka, hali mbaya dunia nzima wapi utapata hela za kirahisi hivyo?
Yani hyu mjuaj anizid maisha ata robo hii hii trade bayofanya nalisha familia yako nzimajust ushauri mkuu, tafuta kazi, hisa watu hawanunui hisa kutajirika atleast mitaji yetu hii, S&P 500 hisa zimeshuka kwa asilimia 15 ndani ya huu mwaka, kina FB, Apple, Microsoft na makampuni yote makubwa hisa zinashuka, hali mbaya dunia nzima wapi utapata hela za kirahisi hivyo?
Jamaa kasema Ni ushauri tu ingetosha kuuchukua au kuacha Sasa Kama umepanic hivi Mambo ya kulisha familia yake Tena yanatoka wapi,,huwezi kua na hela ukabehave hivoYani hyu mjuaj anizid maisha ata robo hii hii trade bayofanya nalisha familia yako nzima