OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,960
- 25,309
Ili tushinde njaakwani nyie manjestaa munacheza ligi ili mushinde nini?
manjestakwani nyie manjestaa munacheza ligi ili mushinde nini?
Labda apate timu nyingine mapema. Kinyume cha hapo sidhani.Kwa vyovyote vile I wish CR7 tumrelease this January.
Nilisema siku ya kwanza kabisa wakati ligi inaanza msimu huu. Hawa jamaa kuna kitu kikubwa sana kinapikwa pale.Nawaona Newcastle United pamoja na Eddie Howe nafasi ya nne msimu huu.
Upo sahihi 100%, ona Chelsea walitumia £300m kusajiri wachezaji ambao hawakujiandaa nao watacheza Aina gan ya football ,hawakuwa na DOF , Sasa hivi ukiambiwa Chelsea imemsajiri Cucurella £62m au Sterling £50m unaweza kubishaNilisema siku ya kwanza kabisa wakati ligi inaanza msimu huu. Hawa jamaa kuna kitu kikubwa sana kinapikwa pale.
Wana vichwa vimetulia sana kuanzia wamiliki, watendaji wa kila siku (Dan Ashworth) na safu nzima ya benchi la ufundi ikiongozwa na Eddie Howe.
Pesa ni muhimu ktk kujenga timu ila kitu cha muhimu sana ni brain nyuma ya hiyo pesa ndio muhimu sana. CEO na director of football hawa ndio kila kitu ktk mafanikio ya timu. Kinachoonekana uwanjani ni vision ya hawa watu.
Achana na mambo ya kutabili ,Kila ukiandika huu ujinga mnapigwa Kama mbwa Koko [emoji91][emoji23][emoji23][emoji23]Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha[emoji16][emoji16]
Prediction
Fulham 1 vs Manchester united 3
Time
1.30 jioniView attachment 2415010
City jikazeni kidogo, nimeshashuhudia Liverpool wakibeba EPL imetosha. Akibeba Arsenal pia kabla yetu ni maumivu makubwa sana. [emoji1]Achana na mambo ya kutabili ,Kila ukiandika huu ujinga mnapigwa Kama mbwa Koko [emoji91][emoji23][emoji23][emoji23]
We jamaa kichwa yako kwenye mpiraUpo sahihi 100%, ona Chelsea walitumia £300m kusajiri wachezaji ambao hawakujiandaa nao watacheza Aina gan ya football ,hawakuwa na DOF , Sasa hivi ukiambiwa Chelsea imemsajiri Cucurella £62m au Sterling £50m unaweza kubisha
Man u nawatamaniaga Sana mabosi wenu pesa wanamwaga tu ,dirisha moja mnatumia had £250m
Pale Arsenal Ni msimu juz Ndio Arteta Alipewa £150m
Msimu huu £120m
Newcastle nilisoma article moja jamaa wamejipanga kwenye Timu Yao kuanzia DOF had Kocha ,Ni Aina gan ya mpira wacheze na wachezaji gani wasajiriwe
Niliona wanazingatia hasa physicality, height , Ndio maana jamaa timu Yao haina mafundi wengi ukiacha kidogo kina Almiron, Maximin Hawa wazaman, ila kuanzia kina Burn, Botman hata Guimares wapo Vizuri kwenye physicality,
Wanasajiri kuendana na DOF , na Kocha anasemaje
Mtu anaweza kusema Ni sababu Wana pesa
Kuna Northgarm Forrest wametumia £155m msimu huu na wolves wametumia £150m , lakin wapo mkiani, Kama Forrest wamejisajiria ovyo ovyo,