Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Facundo Pellistri inakuaje anaitwa timu ya taifa huku kwetu hapewi muda wa kucheza?
 
Una uhakika au umeropoka tu
Nov 10, 2022. Man Utd vs A.Villa
FB_IMG_16681943959258734.jpg
 
Ndy maisha sio rahis huku ufany biashara bure na hasara zipo lkn sio risk San tofaut na biashara nyingine miaka kumi10 ijayo nd utapata elimu hii alafu utasema ulikuwa wap hpo ndipo utanikumbuka mm lkn sijaandika mahali ambaopo namlazimisha mtu ila kama mtu ataona tija atanitafuta
Nipo kwenye forex trading huu mwaka wa 7.

Najua ninachosema.

Hakuna maisha marahisi huu upande. Kupata hela yake lazima jasho likutoke haswa.
 
Unafikiri Gapko atakuja january?
Haji january. Sidhani kama tutafanya usajili wowote.

Wachezaji watakuwa wametoka WC na majeruhi kibao. Timu zao hazitakubali kuwaachia key players wakati wana milima ya kupanda.

Dirisha kubwa lijalo tutafanya sajili nyingi tu. Mikataba inaisha na wengine wanatimuliwa.
 
Haji january. Sidhani kama tutafanya usajili wowote.

Wachezaji watakuwa wametoka WC na majeruhi kibao. Timu zao hazitakubali kuwaachia key players wakati wana milima ya kupanda.

Dirisha kubwa lijalo tutafanya sajili nyingi tu. Mikataba inaisha na wengine wanatimuliwa.
Kwa vyovyote vile I wish CR7 tumrelease this January.
 
Nawaona Newcastle United pamoja na Eddie Howe nafasi ya nne msimu huu.
Nilisema siku ya kwanza kabisa wakati ligi inaanza msimu huu. Hawa jamaa kuna kitu kikubwa sana kinapikwa pale.

Wana vichwa vimetulia sana kuanzia wamiliki, watendaji wa kila siku (Dan Ashworth) na safu nzima ya benchi la ufundi ikiongozwa na Eddie Howe.

Pesa ni muhimu ktk kujenga timu ila kitu cha muhimu sana ni brain nyuma ya hiyo pesa ndio muhimu sana. CEO na director of football hawa ndio kila kitu ktk mafanikio ya timu. Kinachoonekana uwanjani ni vision ya hawa watu.
 
Nilisema siku ya kwanza kabisa wakati ligi inaanza msimu huu. Hawa jamaa kuna kitu kikubwa sana kinapikwa pale.

Wana vichwa vimetulia sana kuanzia wamiliki, watendaji wa kila siku (Dan Ashworth) na safu nzima ya benchi la ufundi ikiongozwa na Eddie Howe.

Pesa ni muhimu ktk kujenga timu ila kitu cha muhimu sana ni brain nyuma ya hiyo pesa ndio muhimu sana. CEO na director of football hawa ndio kila kitu ktk mafanikio ya timu. Kinachoonekana uwanjani ni vision ya hawa watu.
Upo sahihi 100%, ona Chelsea walitumia £300m kusajiri wachezaji ambao hawakujiandaa nao watacheza Aina gan ya football ,hawakuwa na DOF , Sasa hivi ukiambiwa Chelsea imemsajiri Cucurella £62m au Sterling £50m unaweza kubisha

Man u nawatamaniaga Sana mabosi wenu pesa wanamwaga tu ,dirisha moja mnatumia had £250m

Pale Arsenal Ni msimu juz Ndio Arteta Alipewa £150m

Msimu huu £120m

Newcastle nilisoma article moja jamaa wamejipanga kwenye Timu Yao kuanzia DOF had Kocha ,Ni Aina gan ya mpira wacheze na wachezaji gani wasajiriwe

Niliona wanazingatia hasa physicality, height , Ndio maana jamaa timu Yao haina mafundi wengi ukiacha kidogo kina Almiron, Maximin Hawa wazaman, ila kuanzia kina Burn, Botman hata Guimares wapo Vizuri kwenye physicality,

Wanasajiri kuendana na DOF , na Kocha anasemaje

Mtu anaweza kusema Ni sababu Wana pesa

Kuna Northgarm Forrest wametumia £155m msimu huu na wolves wametumia £150m , lakin wapo mkiani, Kama Forrest wamejisajiria ovyo ovyo,
 
Back
Top Bottom