Nilisema siku ya kwanza kabisa wakati ligi inaanza msimu huu. Hawa jamaa kuna kitu kikubwa sana kinapikwa pale.
Wana vichwa vimetulia sana kuanzia wamiliki, watendaji wa kila siku (Dan Ashworth) na safu nzima ya benchi la ufundi ikiongozwa na Eddie Howe.
Pesa ni muhimu ktk kujenga timu ila kitu cha muhimu sana ni brain nyuma ya hiyo pesa ndio muhimu sana. CEO na director of football hawa ndio kila kitu ktk mafanikio ya timu. Kinachoonekana uwanjani ni vision ya hawa watu.
Upo sahihi 100%, ona Chelsea walitumia £300m kusajiri wachezaji ambao hawakujiandaa nao watacheza Aina gan ya football ,hawakuwa na DOF , Sasa hivi ukiambiwa Chelsea imemsajiri Cucurella £62m au Sterling £50m unaweza kubisha
Man u nawatamaniaga Sana mabosi wenu pesa wanamwaga tu ,dirisha moja mnatumia had £250m
Pale Arsenal Ni msimu juz Ndio Arteta Alipewa £150m
Msimu huu £120m
Newcastle nilisoma article moja jamaa wamejipanga kwenye Timu Yao kuanzia DOF had Kocha ,Ni Aina gan ya mpira wacheze na wachezaji gani wasajiriwe
Niliona wanazingatia hasa physicality, height , Ndio maana jamaa timu Yao haina mafundi wengi ukiacha kidogo kina Almiron, Maximin Hawa wazaman, ila kuanzia kina Burn, Botman hata Guimares wapo Vizuri kwenye physicality,
Wanasajiri kuendana na DOF , na Kocha anasemaje
Mtu anaweza kusema Ni sababu Wana pesa
Kuna Northgarm Forrest wametumia £155m msimu huu na wolves wametumia £150m , lakin wapo mkiani, Kama Forrest wamejisajiria ovyo ovyo,