Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Unafikiri Gapko atakuja january?
I doubt mkuu, ujue Gapko ni Kama Rashford na Garnacho anatokea kushoto, kwa kiwango anachoonesha Garnacho sidhani kama atakuja mtu. Labda kama ETH anataka ambadili awe striker wa kati, maana ndio eneo ambalo tunatakiwa tusajili sababu Martial majeruhi na Ronaldo tia maji tia maji.
 
Mkuu labda nikueleweshe as tunafanya pair mbili index na crypto lkn ktk index tunatrade items ya eci na ewd hyo crypto kw mwez mara Moja kutokana na analysis zao hawatupi mara nying kwhy as tunapata San uhakika wa faida hupo humu Kuna maisha
Sijui hata kama unaelewa unachoandika anyway humu ni uzi wa mpira.
 
Jamaa kasema Ni ushauri tu ingetosha kuuchukua au kuacha Sasa Kama umepanic hivi Mambo ya kulisha familia yake Tena yanatoka wapi,,huwezi kua na hela ukabehave hivo
Utajuwa wewe ila mm ndonajua nmefika level Gani ya maisha na pia tupo humu utakuja kunisikia hii wazako wakiwa mbali
 
Wewe kujua kwingi alafu ujui ata napokwambia nafany eci na ewd ujui ni kitu gani we umekalia kupinga hya masoko yanatoa price yke high volatility ndoma wanapenda kuyatumia Sasa wewe FX yenyewe umeadisiwa unataka kujifanya mjuaji we unajua kw siku naingiza bei Gani ysna chin nying km Afghanistan Nigeria south Africa Canada USA UK na mataifa mengine we watu wake we unawazid akiri wewe umeridhika kuw masikin anayetaka kupiga hatua Moja kwenda hatua nyingine atanitafuta na uzuri watu 6 washanitafuta na nishawapa maelekezo wameelewa na uthibitisho na research zao wameona hiki kitu ni Cha kweli we Kaa kimya kama utak usipoteshwe uma
Jifunze kuandika vizuri
IMG_20221026_155844.jpg
 
Toa upuuzi wako hapa jukwaani, Kama unapiga hela si zako ? Wewe Dada vp

Unapewa usharudi unapanic, kuandika kwenyewe hujui !
 
Magwaya ana nini ambacho sie fans hatukioni ?

Pia ETH hamuelewi pia ndo maana anampiga benchi!

Huyu mwamba timu ya taifa hakosekani na anapangwa ,,,, ! Au ni aina ya watu anaocheza nao ? Ni sawa na Fred kwa Brazil!

Kina Mings, Tomori n.k Wana viwango kumzidi jamaa lakini hawaitwi Mara kwa Mara national team !, Hata Smalling kule roma anafanya vizuri Sana chini ya mourhinho

Chief-Mkwawa
 
Magwaya ana nini ambacho sie fans hatukioni ?

Pia ETH hamuelewi pia ndo maana anampiga benchi!

Huyu mwamba timu ya taifa hakosekani na anapangwa ,,,, ! Au ni aina ya watu anaocheza nao ? Ni sawa na Fred kwa Brazil!

Kina Mings, Tomori n.k Wana viwango kumzidi jamaa lakini hawaitwi Mara kwa Mara national team !, Hata Smalling kule roma anafanya vizuri Sana chini ya mourhinho

Chief-Mkwawa
Mings mkuu? Reverse role ya Maguire na Mings jana leo ingekuwa ni full matusi kwa Maguire humu ndani. Kahusika sana kutuzawadia yale magoli.

Na mechi zote toka arudi majeruhi kama Jana, West ham etc amecheza vizuri.

Na Maguire sio kinda kwamba ameanza leo, ni CB bora wa Uingereza World cup 2018 na Euro iliopita kuna maajabu gani akienda na World cup hii?.
 
Mings mkuu? Reverse role ya Maguire na Mings jana leo ingekuwa ni full matusi kwa Maguire humu ndani. Kahusika sana kutuzawadia yale magoli.

Na mechi zote toka arudi majeruhi kama Jana, West ham etc amecheza vizuri.

Na Maguire sio kinda kwamba ameanza leo, ni CB bora wa Uingereza World cup 2018 na Euro iliopita kuna maajabu gani akienda na World cup hii?.
Umerefer Sana form ya zaman,,, sawa Jana kacheza vizuri !!!

VP tomori na Smalling ? Sio kwamba Gareth anafanya gambling ?
 
Umerefer Sana form ya zaman,,, sawa Jana kacheza vizuri !!!

VP tomori na Smalling ? Sio kwamba Gareth anafanya gambling ?
Makocha wote hao mkuu wanachukua wachezaji wanaofit mifumo yao. Mfano Enrique hajamchukua De gea sababu hawezi kufanya Build up kutoka nyuma.

Southgate tunajua fika anaenda paki basi la maana huko Qatar, Maguire anafit sana huu mfumo sababu unaficha weakness yake ya kutokua na speed, pia Southgate anatumia beki wa 3 sometime wa kati, inakuwa rahisi hata Maguire akipanda kunakuwa na cover.

Flop wetu wote wameshine ligi ya Italia mkuu, sio necessary kwamba Smalling na Tomori ni wachezaji wazuri kuliko Maguire.
 
Makocha wote hao mkuu wanachukua wachezaji wanaofit mifumo yao. Mfano Enrique hajamchukua De gea sababu hawezi kufanya Build up kutoka nyuma.

Southgate tunajua fika anaenda paki basi la maana huko Qatar, Maguire anafit sana huu mfumo sababu unaficha weakness yake ya kutokua na speed, pia Southgate anatumia beki wa 3 sometime wa kati, inakuwa rahisi hata Maguire akipanda kunakuwa na cover.

Flop wetu wote wameshine ligi ya Italia mkuu, sio necessary kwamba Smalling na Tomori ni wachezaji wazuri kuliko Maguire.
ok ok najaribu kukuelewa. !!!!
 
Back
Top Bottom