Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,478
I doubt mkuu, ujue Gapko ni Kama Rashford na Garnacho anatokea kushoto, kwa kiwango anachoonesha Garnacho sidhani kama atakuja mtu. Labda kama ETH anataka ambadili awe striker wa kati, maana ndio eneo ambalo tunatakiwa tusajili sababu Martial majeruhi na Ronaldo tia maji tia maji.Unafikiri Gapko atakuja january?


