Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,750
- 5,627
Toa upuuzi wako hapa jukwaani, Kama unapiga hela si zako ? Wewe Dada vp
Unapewa usharudi unapanic, kuandika kwenyewe hujui !









Toa upuuzi wako hapa jukwaani, Kama unapiga hela si zako ? Wewe Dada vp
Unapewa usharudi unapanic, kuandika kwenyewe hujui !









Me nimesoma Sweden kiswahili ndiyo sijui tatizo liko wapToa upuuzi wako hapa jukwaani, Kama unapiga hela si zako ? Wewe Dada vp
Unapewa usharudi unapanic, kuandika kwenyewe hujui !
Vijana weng na mtfe inaenea kwa Kasi watoto wadogo manamilik magari nyumba za kifahari kwajili ya mtfe Sasa wewe Kaa hivyo hivyo kujifanya mjuajiView attachment 2413321View attachment 2413323View attachment 2413325View attachment 2413326View attachment 2413327View attachment 2413330View attachment 2413331View attachment 2413332View attachment 2413334View attachment 2413335View attachment 2413336
Unamanisha ni kilazaJifunze kuandika vizuriView attachment 2413402
We kipindi wenzako wanasoma ulikuwa unaangalia chuchu konziYani hyu mjuaj anizid maisha ata robo hii hii trade bayofanya nalisha familia yako nzima
StupidUtajuwa wewe ila mm ndonajua nmefika level Gani ya maisha na pia tupo humu utakuja kunisikia hii wazako wakiwa mbali

Duuhhh wavivu wote wapo uwanjani aisee.Kwaichi kikosi bora ni lale tu.View attachment 2412707
Vizuri na sijui lile goli waliojifunga angekua yeye pale sijui ingekuaje Leo...sometime Mitandao imekuja kuharibu ladha ya soka kwa hype za ajabu..mnyonge mnyongeni haki yake mpeni raha ya beki upigwe na kakadi maguire kacheza vzuri banaMaguire amecheza vizuri sio..Okay.
Mings mkuu? Reverse role ya Maguire na Mings jana leo ingekuwa ni full matusi kwa Maguire humu ndani. Kahusika sana kutuzawadia yale magoli.Magwaya ana nini ambacho sie fans hatukioni ?
Pia ETH hamuelewi pia ndo maana anampiga benchi!
Huyu mwamba timu ya taifa hakosekani na anapangwa ,,,, ! Au ni aina ya watu anaocheza nao ? Ni sawa na Fred kwa Brazil!
Kina Mings, Tomori n.k Wana viwango kumzidi jamaa lakini hawaitwi Mara kwa Mara national team !, Hata Smalling kule roma anafanya vizuri Sana chini ya mourhinho
Chief-Mkwawa
Umerefer Sana form ya zaman,,, sawa Jana kacheza vizuri !!!Mings mkuu? Reverse role ya Maguire na Mings jana leo ingekuwa ni full matusi kwa Maguire humu ndani. Kahusika sana kutuzawadia yale magoli.
Na mechi zote toka arudi majeruhi kama Jana, West ham etc amecheza vizuri.
Na Maguire sio kinda kwamba ameanza leo, ni CB bora wa Uingereza World cup 2018 na Euro iliopita kuna maajabu gani akienda na World cup hii?.
Makocha wote hao mkuu wanachukua wachezaji wanaofit mifumo yao. Mfano Enrique hajamchukua De gea sababu hawezi kufanya Build up kutoka nyuma.Umerefer Sana form ya zaman,,, sawa Jana kacheza vizuri !!!
VP tomori na Smalling ? Sio kwamba Gareth anafanya gambling ?
ok ok najaribu kukuelewa. !!!!Makocha wote hao mkuu wanachukua wachezaji wanaofit mifumo yao. Mfano Enrique hajamchukua De gea sababu hawezi kufanya Build up kutoka nyuma.
Southgate tunajua fika anaenda paki basi la maana huko Qatar, Maguire anafit sana huu mfumo sababu unaficha weakness yake ya kutokua na speed, pia Southgate anatumia beki wa 3 sometime wa kati, inakuwa rahisi hata Maguire akipanda kunakuwa na cover.
Flop wetu wote wameshine ligi ya Italia mkuu, sio necessary kwamba Smalling na Tomori ni wachezaji wazuri kuliko Maguire.
Facundo Pellistri inakuaje anaitwa timu ya taifa huku kwetu hapewi muda wa kucheza?
yupo Man U na kila siku yupo Bench, issue ni Discipline ndogo kama Garnancho, hawa watoto wakipata umaarufu kidogo wanaona wamefika.Nadhani yuko kwa mkopo timu nyingine
Una uhakika au umeropoka tuyupo Man U na kila siku yupo Bench, issue ni Discipline ndogo kama Garnancho, hawa watoto wakipata umaarufu kidogo wanaona wamefika.
Nov 10, 2022. Man Utd vs A.VillaUna uhakika au umeropoka tu
Kuna watu wanapenda kubishana mkuu...Nov 10, 2022. Man Utd vs A.VillaView attachment 2413872