Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,715
- 39,800
Ukitoa Atletico Madrid City wapo on form msimu huu kuliko timu yoyote. There is no shame ya sisi kuwa nafasi ya pili, so far tupo ndani ya expectation zetu msimu huu, hio nafasi ya kwanza tulikuwa tuna over achieve.Ushindi mwembamba leo kisha kipigo jumapili..hiyo ndo curve yetu.
Chief-Mkwawa leta stats..nini kimetokea mbona City wametupita kama upepo vile?