Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa kocha mpya kuja na kufika nusu fainali hio Pia ni achievement, Ole akiingia top 4 msimu huu atakuwa ni kocha wa kwanza kuingia top 4 back to back toka Fergie astaafu.

Niliwahi kusema huko nyuma na nitasema Tena sasa hivi hata Ole asipo chukua ubingwa bado atakuwa ni successfull na atatuacha eneo zuri ili mwengine apokee kijiti.

Jamaa ametatua almost 90% ya matatizo yote ya zamani na sasa hivi tunaanza ku dream Tena.
Aisee Chief, hauoni kuwa hapo umei-downgrade sana timu yako. Yaani back to back top four finish ndiyo yawe mafanikio kwa timu kama United! Duh, kwamba dunia inakimbia kasi kiasi hicho. Kwa hiyo unataka kumaanisha kuwa yule kocha wenu aliyewahi kusema 2018 kuwa malengo yenu wakati ule yalikuwa sawa na Everton!

Mimi nadhani zile timu traditional top six (ukiacha Arsenal) zinapaswa kuita mafanikio pale zinapochukua kikombe. Au walau kutinga fainali. Top four finish ni mafanikio kwa emerging teams kama Leicester, Everton, Wolves, Villa na akina West ham.

Nyie msilete visingizio, kipimo chenu ubingwa. Sisi tunaanza na Europa na Karagabaho kisha msimu ujao kocha wetu tutamwomba tena aende na kale karedio kwenye press conference.
 
Unfortunately wewe ni katika minority, majority ya mashabiki wa man U bado wanamuhitaji na board Pia inamuhitaji.

Swali la kizushi tu nani aje akiondoka yeye? Na kwa nini?
Uje ubongo wa kuweza kupambana na pep na klopp......kuhusu kocha mwenye huo ubongo mimi simjui ila wazo langu ndio ilo
 
Aisee Chief, hauoni kuwa hapo umei-downgrade sana timu yako. Yaani back to back top four finish ndiyo yawe mafanikio kwa timu kama United! Duh, kwamba dunia inakimbia kasi kiasi hicho. Kwa hiyo unataka kumaanisha kuwa yule kocha wenu aliyewahi kusema 2018 kuwa malengo yenu wakati ule yalikuwa sawa na Everton!

Mimi nadhani zile timu traditional top six (ukiacha Arsenal) zinapaswa kuita mafanikio pale zinapochukua kikombe. Au walau kutinga fainali. Top four finish ni mafanikio kwa emerging teams kama Leicester, Everton, Wolves, Villa na akina West ham.

Nyie msilete visingizio, kipimo chenu ubingwa. Sisi tunaanza na Europa na Karagabaho kisha msimu ujao kocha wetu tutamwomba tena aende na kale karedio kwenye press conference.
Ndio ujue maisha yanaenda kasi sana leo raia zinafurahia kuingia top four mi najiuliza tu hii crisis tunayopitia si ndio madrid anapitia kipindi hiki lakini mbona perfomance yao ipo pale pale sisi wapi tulikosea.....ina maana hatukujiandaa kuachana na babu kipindi kile

Unajua kama mzaha mzaha tu ten years hii hapa bila ubingwa wa epl
 
Aisee Chief, hauoni kuwa hapo umei-downgrade sana timu yako. Yaani back to back top four finish ndiyo yawe mafanikio kwa timu kama United! Duh, kwamba dunia inakimbia kasi kiasi hicho. Kwa hiyo unataka kumaanisha kuwa yule kocha wenu aliyewahi kusema 2018 kuwa malengo yenu wakati ule yalikuwa sawa na Everton!

Mimi nadhani zile timu traditional top six (ukiacha Arsenal) zinapaswa kuita mafanikio pale zinapochukua kikombe. Au walau kutinga fainali. Top four finish ni mafanikio kwa emerging teams kama Leicester, Everton, Wolves, Villa na akina West ham.

Nyie msilete visingizio, kipimo chenu ubingwa. Sisi tunaanza na Europa na Karagabaho kisha msimu ujao kocha wetu tutamwomba tena aende na kale karedio kwenye press conference.
Sisi timu yetu ina clear path ambayo Ole ameiweka na tunaifuata hio path na so far tupo mahala pazuri.

Tatizo lenu mashabiki wa kibongo mnapenda kufaidi end result Ila tabu za process haziwahusu, wengi wameanza kushabikia man U matunda ya Fergie wakati wanavuna Ila kipindi fergie anapanda wengi hawajui tabu zake zilikuaje.

Hao Liverpool na Klop miaka takribani mitano wamestrugle hadi nafasi ya 8 wameshika wakaja kufaidi matunda mbeleni.

Hao man city tushazungumzia mda humu, walianza kuandaa ujio wa kina pep miaka kibao nyuma, Tixi amekuja 2012 kama sijakosea that time Fergie bado yupo Man U, wakati fergie akitawala baadae Chelsea vipindi tofauti na Leicester wao wanajipanga wanasajili Watu wanaofit mfumo fulani Kina DE bruyne, fernandinho, Aguero, Silva, kompany na wengine kibao walisajiliwa zamani tu ila matunda yake ya nakuja kuonekana baadae baada kuwa na philosophy fulani.

Sasa kuna Watu wanajua utaleta kocha XXX halafu hapo hapo anachukua ubingwa tu, mpira hauna hivyo aisee usifikiri tu kupanga wachezaji 11 kunatosha...

Na ndio kinachofanyika sasa hivi, cultural overhaul, kukibadili kikosi kama man U inavyohitajika.
 
Ndio ujue maisha yanaenda kasi sana leo raia zinafurahia kuingia top four mi najiuliza tu hii crisis tunayopitia si ndio madrid anapitia kipindi hiki lakini mbona perfomance yao ipo pale pale sisi wapi tulikosea.....ina maana hatukujiandaa kuachana na babu kipindi kile

Unajua kama mzaha mzaha tu ten years hii hapa bila ubingwa wa epl
Sababu Spain hakuna ushindani, hata barca na Madrid ziwe mbovu vipi ngumu kutoka top 4.
 
Timu hii dhaifu labda sub wataokoa jahazi
PSX_20210303_222628.jpg
 
Yaan namtaja James anaingia... ila sioni Greenwood anafanya nini leo
 
Back
Top Bottom