radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,427
- 32,196
Ila jana tulimhitaji zaidi valencia kuliko dalotDalot ana miaka 19 na leo alikuwa mmoja ya wachezaji waliocheza vizuri.Akipewa nafasi atakuja kuwa beki tegemeo kwa United
Ila jana tulimhitaji zaidi valencia kuliko dalotDalot ana miaka 19 na leo alikuwa mmoja ya wachezaji waliocheza vizuri.Akipewa nafasi atakuja kuwa beki tegemeo kwa United
Japo alifunga kagoli hakuwa na madhara mkuu ile mech ilikuwa ya mata nakwambia angalia ambavyo angetembea maana herrera alipiga mzigo sana jana tulihitaj kiungo mnyumbulifu kwa ajili ya martial na rashfordYap Valencia alipaswa kuanza, hakuna ubishi kuhusu hilo. Kuna wakati ni ngumu sana kumuelewa Jose, anamuacha Dalot nje mechi kama ya Southampton (apate uzoefu kwanza) na badala yake anakuja kumuanzisha mechi ya Gunners, mechi yenye pressure kubwa.
Kwa Lingard nipo tofauti na wewe mkuu. Man Utd game plan yao ilikuwa kucheza game yenye high tempo, kutompa adui nafasi ya kupumua (kwa dakika 15 za kwanza tulifanikiwa). Mata ni mzuri sana, lakini sio mkimbiaji, sio mtu wa ku press adui na ni mstaarabu sana hata sio mtu wa kucheza technical fouls.
Ni kipa mzur pia
Hivi Herrera hakuwa Man of the Match?Japo alifunga kagoli hakuwa na madhara mkuu ile mech ilikuwa ya mata nakwambia angalia ambavyo angetembea maana herrera alipiga mzigo sana jana tulihitaj kiungo mnyumbulifu kwa ajili ya martial na rashford
Mechi ya pili hii namuona rashford kaanza kucheza kiutu uzima.
Kachukua martialHivi Herrera hakuwa Man of the Match?
Yule dogo wampe mkataba mpya na ukapteni
Hivi Herrera hakuwa Man of the Match?
Yule dogo wampe mkataba mpya na ukapteni
Katika wachezaji ambao wanapaswa kuondoshwa United Valencia ni mmojawapo he has nothing to offer kwenye kushambulia & too predictableIla jana tulimhitaji zaidi valencia kuliko dalot
Point bora kuanza upya.Katika wachezaji ambao wanapaswa kuondoshwa United Valencia ni mmojawapo he has nothing to offer kwenye kushambulia & too predictable
Wachezaji kama hao wakibaki tutaendelea kulaumu makocha kila siku
Angecheza Mata tungefungwa mapema tu, jesse alikua anatimiza majukumu kwa asilimia zote kitu ambacho Mata asingeweza.Japo alifunga kagoli hakuwa na madhara mkuu ile mech ilikuwa ya mata nakwambia angalia ambavyo angetembea maana herrera alipiga mzigo sana jana tulihitaj kiungo mnyumbulifu kwa ajili ya martial na rashford
Mechi ya pili hii namuona rashford kaanza kucheza kiutu uzima.
ILIKUWA NYEUPE EEEEEEEEEHLukaku
Fellain
Pogba
Hawa walikuja kuwarudisha arsenal mchezon japo marcos rojo kachoma ila kocha kazingua mechi ilikuwa nyeupe sana aiseeee
wacha uwongo wako wewe......huna timu hiyo kwasasa zile zama za wenger zilipitaga nafikiri wewe bado unaotaMzee arsenal kumfunga united ni habar nyingine labda kocha aamue kama wakina rojo wangeyajua majukum yao mlikuwa kibla kocha fala kawarudisha mchezon kwa sub ya fellain,pogba na lukaku huwezi kumuacha nje mata ni mambo ya ajabu mno nayaona
Mechi ambayo arsenal huwa anajua kuicheza ni ya spurs wanafia hadi uwanjani.
Timu unayoweza kuifunga ni spurs tu toka wenger aondoke kipi kimebadilika? Kushika nafasi ya 5???wacha uwongo wako wewe......huna timu hiyo kwasasa zile zama za wenger zilipitaga nafikiri wewe bado unaota
angecheza valencia sasa hivi mungekuwa munaugulia kipigo..........yuleameshachoka sasa amekuwamzito hana tena ilekasi yake iliyozoelekani muda sasawakurudi kule WIGAN ATHLETICSHii mechi ilikuwa ya valencia over dalot mata over lingard na fred angafanyiwa sub
Tatizo huwa mnamkamia spurs sana mnacheza kama fainaliILIKUWA NYEUPE EEEEEEEEEH
Acha wewe mara ngapi dalot kakutwa nje ya nafasi yake kona zote zimetokea upande wake ndo upande uliokuwa mbovu valencia angakuwepo ule ujinga usingetokeaangecheza valencia sasa hivi mungekuwa munaugulia kipigo..........yuleameshachoka sasa amekuwamzito hana tena ilekasi yake iliyozoelekani muda sasawakurudi kule WIGAN ATHLETICS
Ficha ujinga wakoVitu viwili vinavyo tufelisha Man United
1. Uwepo wa Pogba Uwanjani
2. Uwepo wa huyu Mzee Fergason
Huwezi hamini mashabiki wa Chelsea leo hii wanamponda Sarri wakati juzi tu alikuwa anapewa sifa kedekedeleo wanasema mouni bonge la kocha mpira hauendi bila yaunafki
MOU IN
Mkuu defence tu kocha alisema bila beki bora ni kazi bure rojo anampasia lacazatte mustaf anaruka free header aiseeNimefurahishwa na hamasa ya wachezaji walianza game kwa kasi flan hivi makosa madogo yametugharimu.