Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Another one point

The positive from today's match, TEAM SPIRIT was super

Observation:

We really need a £ 75+mill central defender

If Rashford and Martial Trusted they can be a plus for the team

Questions

Why Fredy and/or Pereira wasn't even on a bench

Why Valencia was not in a stsrting line up

What is certain, Jose knows how to play big matches
Achana na hao akina Valence na Young ni shida nao.
 
Mzee arsenal kumfunga united ni habar nyingine labda kocha aamue kama wakina rojo wangeyajua majukum yao mlikuwa kibla kocha fala kawarudisha mchezon kwa sub ya fellain,pogba na lukaku huwezi kumuacha nje mata ni mambo ya ajabu mno nayaona

Mechi ambayo arsenal huwa anajua kuicheza ni ya spurs wanafia hadi uwanjani.
Hao ndo nyota wenu ulitaka nani acheze.
 
Mourihno leo ilitakiwa mumpongeze kwa namna alivyopanga kikosi mkuu...Angepanga unavyotaka msingecheza the same..

Hamna viungo vya kumiliki mpira Mbele ya Arsenal..Nafikiri umemuona Guendoz alivyokua anatawala kati....

Leo mmecheza vizuri sana Japo second half sijaona nafasi yeyote ya kufunga mliyotengeneza...
Guendo ametawala kati? Hivi mimi na wewe tumeangalia game mbili tofauti. Dogo amepoteza mipira mingi sana

United kipindi cha pili hawakutengeneza nafasi? Nadhani hii mechi hukuiona, bali umesimuliwa. Goli la pili liliingiaje? Vipi kuhusu ile faulo aliyocheza Toreira kwenye penalty box mpaka akaumia? Embu niambie nafasi mlizotengeneza nyie.
 
..
46061177_303485557166901_6409977741728381474_n.jpeg
 
Hii mechi ilikuwa ya valencia over dalot mata over lingard na fred angafanyiwa sub
Yap Valencia alipaswa kuanza, hakuna ubishi kuhusu hilo. Kuna wakati ni ngumu sana kumuelewa Jose, anamuacha Dalot nje mechi kama ya Southampton (apate uzoefu kwanza) na badala yake anakuja kumuanzisha mechi ya Gunners, mechi yenye pressure kubwa.

Kwa Lingard nipo tofauti na wewe mkuu. Man Utd game plan yao ilikuwa kucheza game yenye high tempo, kutompa adui nafasi ya kupumua (kwa dakika 15 za kwanza tulifanikiwa). Mata ni mzuri sana, lakini sio mkimbiaji, sio mtu wa ku press adui na ni mstaarabu sana hata sio mtu wa kucheza technical fouls.
 
Back
Top Bottom