Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,168
- 201,242
Mkuu aseno wengi ni kama Wamechanganyikiwa hivi yaani hata sijui wanafurahia niniTimu unayoweza kuifunga ni spurs tu toka wenger aondoke kipi kimebadilika? Kushika nafasi ya 5???
Mkuu aseno wengi ni kama Wamechanganyikiwa hivi yaani hata sijui wanafurahia niniTimu unayoweza kuifunga ni spurs tu toka wenger aondoke kipi kimebadilika? Kushika nafasi ya 5???
Wew ndo umeongea hawa wengine ni kama hawatizami game za Man U,, tumecheza vizuri sana jana!Mourihno leo ilitakiwa mumpongeze kwa namna alivyopanga kikosi mkuu...Angepanga unavyotaka msingecheza the same..
Hamna viungo vya kumiliki mpira Mbele ya Arsenal..Nafikiri umemuona Guendoz alivyokua anatawala kati....
Leo mmecheza vizuri sana Japo second half sijaona nafasi yeyote ya kufunga mliyotengeneza...
Hahaha itakuwa unbeaten run labda na vile wanasemega toreira kiungo bora kwaoMkuu aseno wengi ni kama Wamechanganyikiwa hivi yaani hata sijui wanafurahia nini
Naona Rojo sababu ya bench ya muda mrefuMkuu defence tu kocha alisema bila beki bora ni kazi bure rojo anampasia lacazatte mustaf anaruka free header aiseed
Hapana mkuu sio bench beki zetu wajinga tuNaona Rojo sababu ya bench ya muda mrefu
Unbeaten Wakati wamefungwa na Chelsea na city na huko mbele watafungwa Tu na wanaweza shangaa mwakani wakacheza tena EuropaHahaha itakuwa unbeaten run labda na vile wanasemega toreira kiungo bora kwao
Toka wafungwe na chelsea hawajapoteza mchezo ila unbeaten inakuwa ya kisenge sana maana united yupo hoi kazidiwa point 8 tu wakat ambae hakupoteza mchezo anapoint 31Unbeaten Wakati wamefungwa na Chelsea na city na huko mbele watafungwa Tu na wanaweza shangaa mwakani wakacheza tena Europa
Ndiyo maana mshabiki makini hawezi kupiga kelele leo, mfano mdogo Chelsea wanaanza kukataana mapema hapo Jpili anaweza kufa tena kwa city mtafuta sifaToka wafungwe na chelsea hawajapoteza mchezo ila unbeaten inakuwa ya kisenge sana maana united yupo hoi kazidiwa point 8 tu wakat ambae hakupoteza mchezo anapoint 31
kwanza nilishasahau kama kuna kufungwa maana nimecheza muda mrefu napata +resultsTimu unayoweza kuifunga ni spurs tu toka wenger aondoke kipi kimebadilika? Kushika nafasi ya 5???
ni kweli uliyoyasema mkuu ila ni vema mkifungwa pia msikimbilie kumlaumu kocha...............Nimefurahishwa na hamasa ya wachezaji walianza game kwa kasi flan hivi makosa madogo yametugharimu.
Naona na wewe unatimiza sera hiyo ya unafiki katika ubora wakoleo wanasema mouni bonge la kocha mpira hauendi bila yaunafki
MOU IN
Na alikuwa hajatunguliwa muda mrefu kaanza kurudisha chenji mapema.Ndiyo maana mshabiki makini hawezi kupiga kelele leo, mfano mdogo Chelsea wanaanza kukataana mapema hapo Jpili anaweza kufa tena kwa city mtafuta sifa
Kocha analaumiwa kwa sub zake mfano mech lain soft inayovutia kama ya jana fellain wa nini? Alipoingia tu dogo guonduz alichukua nafasi yake sasa maana fellain hana unyumbulifu dogo mnyumbulifukwanza nilishasahau kama kuna kufungwa maana nimecheza muda mrefu napata +results
ni kweli uliyoyasema mkuu ila ni vema mkifungwa pia msikimbilie kumlaumu kocha...............
Guendo ametawala kati? Hivi mimi na wewe tumeangalia game mbili tofauti. Dogo amepoteza mipira mingi sana
United kipindi cha pili hawakutengeneza nafasi? Nadhani hii mechi hukuiona, bali umesimuliwa. Goli la pili liliingiaje? Vipi kuhusu ile faulo aliyocheza Toreira kwenye penalty box mpaka akaumia? Embu niambie nafasi mlizotengeneza nyie.
kwa hiyo wewe hapo huoni tofauti iliyopo mkuu?unavyosema pointi 8 tu kama ndogo vile na unajijua kuwa wababe wako msimu huu ni kina SOTON,BRIGHTON nk hizi game kubwa unakamia tu sasa hivi BOURNAMOUTH kashakushusha upo nafasi ya 8 hukoToka wafungwe na chelsea hawajapoteza mchezo ila unbeaten inakuwa ya kisenge sana maana united yupo hoi kazidiwa point 8 tu wakat ambae hakupoteza mchezo anapoint 31
Goli nyepesi sana tumefungwaMkuu defence tu kocha alisema bila beki bora ni kazi bure rojo anampasia lacazatte mustaf anaruka free header aisee
Na United akiwa ana full squad napo atauwawa tenaNdiyo maana mshabiki makini hawezi kupiga kelele leo, mfano mdogo Chelsea wanaanza kukataana mapema hapo Jpili anaweza kufa tena kwa city mtafuta sifa
kwahiyo SARRI BALL outHuwezi hamini mashabiki wa Chelsea leo hii wanamponda Sarri wakati juzi tu alikuwa anapewa sifa kedekede
Chache sana point yangu ya msingi ukiwa unabeaten tandika gepu la city na liverpool unaweza kupoteza mech tatu strait bado wa tatu na nne hamna cha kumuwazia hapo ukipoteza gem moja tumbo joto mfano chelsea akilambwa na jumamosi arsenal yupo juu yake ambae alianza msimu hovyo umeona tofaut na sioni arsenal kupoteza gem ijayokwa hiyo wewe hapo huoni tofauti iliyopo mkuu?unavyosema pointi 8 tu kama ndogo vile na unajijua kuwa wababe wako msimu huu ni kina SOTON,BRIGHTON nk hizi game kubwa unakamia tu sasa hivi BOURNAMOUTH kashakushusha upo nafasi ya 8 huko
Hili nimewaambia humu watu wanakataa hata simkumsoma mm huyo mchambuzi lakin niliona tu kuanzia dakika ya 77 kiungo kilikufa dogo alikuwa vizur sanaSasa si useme second half mmetengeneza clear chance ipi?
Wewe kweli unaongea kishabiki kupitiliza...Kama Jana unaona mmecheza vizuri basi benchmark ya United this season is below per..
Soma comment ya Robbie Savage pundit aliyekua uwanjani..
"We say Manchester United were held 2-2 at home, but really it was Arsenal that were held 2-2, they were the better side especially second half.
Aubameyang had a big, big chance to score and a good save from David De Gea. They had a goal ruled out, I didn't see United play any football in the middle.
Where was the creativity, the energy? Kolasinac was a threat going forward and he left Dalot exposed. Overall Arsenal were the better side,they could have won.
Leta any comments from anyone hata Mourihno mwenyewe akisema United ilicheza vizuri na ilistahili kushinda..
nimekupata vema ingawa man city huyu mtu hakamitiki anapiga in and out watu ambao sinashaka nao ni hawa loserfooooooooooooolChache sana point yangu ya msingi ukiwa unabeaten tandika gepu la city na liverpool unaweza kupoteza mech tatu strait bado wa tatu na nne hamna cha kumuwazia hapo ukipoteza gem moja tumbo joto mfano chelsea akilambwa na jumamosi arsenal yupo juu yake ambae alianza msimu hovyo umeona tofaut na sioni arsenal kupoteza gem ijayo