Utumishi una Raha gani?Utumishi Raha asikwambie mtu!!!
Ukiwa serikalini bila kuiba HUTOBOI.Kuwa serikalini harufungwi kutafuta fursa zingine nje ya kazi yako, kikubwa ishughulishe akili ili uwe na vyanzo vingi vya mapato Kwakutegemea mshahara na hizi familia za kiafrica utaona Kama pesa yako wananyaga wanyaguzi na kuishia Madeni tu
Uliyo andika haya sio lazima ni bahati nasibu, unaweza kupitisha miezi miwili usiingize chochoteeee🔹 Acha kujiliza
🔹 Mbona hujaweka za semina mnazokwenda Kila wakati na zenyewe sio fedha?
🔹 Mbona hujaweka zile za kumwona daktari na zenyewe sio Pesa
🔹 Mbona hujaweka zile za extra duty na zenyewe sio fedha?
🔹 Mbona zile posho mbalimbali hujaweka na zenyewe sio pesa
Ili uishi kama binadamu LAZIMA UWE NA HELA.Ila watu mnapenda hela alooo 🤣. Kila mtu hela hela, tumekuwa kama vichaa kwa kutafuta hela hata kama tunapitia magumu beyond ubinaadam wetu
Basi nendeni huko mkawe hao wafanyabiashara maana it seems wana enjoy si ndio!!?Unakuta kuna mfanyabiashara anaingiza zaidi ya mil 4 kwa mwezi anakwepa kodi hakatwi kodi
Aisee.Kwa makadirio, mshahara wa daktari Serikalini basic ni 1,480,000
HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400
Unabaki na 849,020
Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi?
acha kazi, wapo wanaolilia wapate ajira ya kulipwa hata 50,000 na hawaipatiKwa makadirio, mshahara wa daktari Serikalini basic ni 1,480,000
HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400
Unabaki na 849,020
Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi?
kama anayo akili atakuelewa, mshahara haujawahi kumtosha mtu, atafute mtaji ajiajiriJamani kazi nyingine ni kutoa huduma kwa jamii ukitaka kuwa tajiri kama musk ingia kwenye biashara
Nje ya mada; Mbona kama huja move on...?Kuna x wangu ni daktari ule mkoa mpya jirani na Rukwa huko alikataa kuja Dar kufanya kazi hapa wakati yupo Singida. Ghafla naona jina lake huko uswekeni. Kwa pesa hiyo sijui anaishije bush huko.
Bora ninyi. Tukileta zetu wafamasia na wauguzi utatuonea huruma.Kwa makadirio, mshahara wa daktari Serikalini basic ni 1,480,000
HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400
Unabaki na 849,020
Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi?
Wewe Mwalimu!? Mimi mwalimuAna muda Gani kazini!??? Mm nawajua wanalipwa 1.6 m
ulitaka ukwepe nini hapo, usirudishe mkopo wa bodi? Huo mshahara bado ni mkubwa fanya kazi acha tamaa.Kwa makadirio, mshahara wa daktari Serikalini basic ni 1,480,000
HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400
Unabaki na 849,020
Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi?
unataka uongozwe na chama gani, wale CHADOMO ambao wameshindwa hata kujenga ofisi?Na sisi tunaolipwa laki tatu kwa mwezi tusemaje?
Tanzania issue siyo madaktari, Watanzania wote tunaishi kama mateka, tatizo ni Ccm.
Hapo kuna mtu kaishia la saba ana chukuwa take home million 14 kwa mwezi kwa kazi ya kugonga meza tu bungeni.
utumishi siyo utumwa we bwege, km umeshindwa kupata ajira kwa upumbavu wako wa kushindwa shule usitiletee upuuzi wako. Neno utumishi linatumika dunia nzima na lina maana yake shida mjinga km wewe uliyekimbia shule utaelewa?Ajira ni utumwa.Ndio maana mnaitwa watumishi
kuna daktari wa diploma? Uwe serious bwanamdogo.Kwani Mkopo ulilazimishwa kukopa?
Pili watu wanaangalia posho zaidi sio hizo salary
Mwisho Daktari wa degree au Diploma?
Tatizo la Tanzania ni kuwa umasikini ni mkubwa sana, ndo maana watu wanalipwa kidogo sababu wana uwezo wa kuzitumia na zikabaki.Na sisi tunaolipwa laki tatu kwa mwezi tusemaje?
Tanzania issue siyo madaktari, Watanzania wote tunaishi kama mateka, tatizo ni Ccm.
Hapo kuna mtu kaishia la saba ana chukuwa take home million 14 kwa mwezi kwa kazi ya kugonga meza tu bungeni.