Makato ya Mshahara kwa Daktari mpya Serikalini, bado tuna safari ndefu sana

Kwa makadirio, mshahara wa daktari Serikalini basic ni 1,480,000

HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400

Unabaki na 849,020

Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi?
Better off than the others
 
Kuna mtu anaingia bungeni anasinzia tu, akishtuka anagonga gonga meza kikao kikiisha anapokea posho, jioni unamkuta rainbow au bambalaga, then mwisho wa mwezi anakunja mara 10 ya hicho kipato. Amaa kweli dunia uwanja wa fujo
Inaumizaa,
 
Dini zinaenezwa kwa misingi ya kuwajaza hofu wajinga.

Jaribu kukaa na wanazuoni ambao theology imelala utaelewa dhahiri Kamba na fix tunazopigana na kujazana hofu, fear of unknown.

Mungu hawezi kuomba pesa kwa binadamu.
Kweli kabisa!!!! Binadamu tumeumbwa tuje Duniani kumtukuza Mungu Kisha utakufa na mwisho wako ndio hapo... Ukuu wa Mungu haulipwi Kwa pesa, Je utampa Mungu kiasi gani Ili umshukuru alivyoumba bahari, Milima, mabonde, anga nk
 
Umeongea ukweli lakini hakuna atakaye jali huko serikalini. Mi nadhani altenative ni kuajiriwa kisha una jiajiri, Serikali hii sikivu iliisha choka sana. Wao siku hizi wanajenga hospitali na madarasa ya shule tu. Hizo stahiki sijui hata kama wanaweza tena. Watumishi wamekuwa wengi sana, na kodi tunalipa sisi hawa hawa.
 
Ndio maana una masters na bado unatumwa na wenye diploma!

Una akili za kipumbavu! Na umekoment upumbavu!

Full stop!
Tajiri kwani ukiwa na masters ndio unakua nani/nini labda mpaka usitumwe na mwenye diploma ?

Utendaji kazi/kazi nyingine zinahitaji akili tofauti na shule au vyeti (mng'ao)(takataka)

Just imagine diploma graduate anafatwa na wanafunzi wa degree wanaomba research titles haya baada ya hapo 80% research inafanywa na diploma then kesho huyu diploma holder unadhan ataendeshwa na vilaza? Kisa tu wana masters?

Kumbuka ....Kuna shule af kuna elimu.
 
Kwa makadirio, mshahara wa daktari Serikalini basic ni 1,480,000

HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400

Unabaki na 849,020

Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi?
Bado Mkopo wa Bank
 
Kwa makadirio, mshahara wa daktari Serikalini basic ni 1,480,000

HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400

Unabaki na 849,020

Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi?
Mbona mnalalamika sana?, Sasa kwann wasingejisomesha badala yake wakaApply mkopo HESLB?, Huoni makato ya mkopo wa HESLB 222,000 kwa mwezi hapo yalivyo makubwa. Hayo makato mengine ni halali kabisa kwa ambaye hakuchukua mkopo wa masomo. Na hapo bado hujaweka makato ya chama cha wafanyakazi kwa daktari aliyeko serikalini.
 
Kwa makadirio, mshahara wa daktari Serikalini basic ni 1,480,000

HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400

Unabaki na 849,020

Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi?
Kuna mtumishi asiyekatwa hizo kodi? GDP ya nchi yako inawezesha ulipwe mabilioni?Weka ka chumvi ka uzalendo tumikia nchi wakati yanaboreshwa mdogo mdogo,au sio daktari?
 
Back
Top Bottom