C&P hii mboni ilikwisha andikwa tayariKwa makadirio, mshahara wa daktari serikalini basic ni 1,480,000
HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400
Unabaki na 849,020
Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Na bei ya nauli kwa Bodaboda kufuata huduma ni shilling 10,000/=Na kuipata ni km 20 kwa bodaboda
Sawa, ila sio wote wana HESLB hiyo ni option tuKwa makadirio, mshahara wa daktari Serikalini basic ni 1,480,000
HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400
Unabaki na 849,020
Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi?
Huo ni mwanzo pia utaongezeka tuuu utapata access ya mikopo utafungua maduka ya dawa utatoboa tuuu !! Utumishi Raha asikwambie mtu!!! Biashara ngumu tusidanganyaneAjira ni utumwa.Ndio maana mnaitwa watumishi
Sio Kila biashara unakuwa tajiri wafanyabiashara wengi ni masikini wa kutupa tusidanganyane!!! Pia udaktari salary huongezeka na kufika mpaka millions of money,Wana mikopo,maduka ya dawa,hosp nk kikubwa ni kuvumilia!! Wafanyabiashara wengi tuu wamechoja kimaishaJamani kazi nyingine ni kutoa huduma kwa jamii ukitaka kuwa tajiri kama musk ingia kwenye biashara
Ana muda Gani kazini!??? Mm nawajua wanalipwa 1.6 mBora wewe, mwalimu wa degree mwenye basic salary 780,000 makato yake ni almost 300,000 anabaki na laki 5
Duuh, kumbe ndio maana wanakomalia wajawazito walipe 150,000 za kuzalishia. Kama huna wanakuacha ufe tuKwa makadirio, mshahara wa daktari serikalini basic ni 1,480,000
HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400
Unabaki na 849,020
Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwingine aliiweka humu asubuhiMpe credit jamaa aliyeichapisha hii kule X (twitter) ulipoitoa
Bonge la afya wa X ndiye mhasisiMwingine aliiweka humu asubuhi
Uzuri wake sio lazima kufanya hiyo kazi, ukiona mshahara mdogo unaacha , simple tu
Mbona sijaona umejumlisha Posho na CCDKwa makadirio, mshahara wa daktari serikalini basic ni 1,480,000
HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400
Unabaki na 849,020
Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Akipanga nyumba sinza kaishaKwa makadirio, mshahara wa daktari serikalini basic ni 1,480,000
HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400
Unabaki na 849,020
Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi
Sent using Jamii Forums mobile app
ha haMboja sijaona umejumlisha Posho na CCD
Bado sana ni kama wameitelekeza hivii...ha ha
Chakula Cha Daktari bado iko?
Marudi ipo pia?
Na faida zilizojificha kem kem.
Ukweli sekta ya Afya bajeti yake ni ndogo mno...hata kufikia 15% ya GDP kwa mujibu wa Azimio la Ouagadougou la miaka 15+ iliyopita bado sana. Safari ni ndefu. Tukifika tutakuwa tumechooooka sana
dahBado sana ni kama wameitelekeza hivii...
CCD zipo za kutosha mzee tunazifinya sana unaweza ukatoka na 150k kwa siku au 100k siku ikiwa mbaya kwahyo hizo zipo...
Na wakati mwingine tunaziomba kijanja 😄😄
Hawajui hayo ndiyo maana wako kubeza kila muda .Bado sana ni kama wameitelekeza hivii...
CCD zipo za kutosha mzee tunazifinya sana unaweza ukatoka na 150k kwa siku au 100k siku ikiwa mbaya kwahyo hizo zipo...
Na wakati mwingine tunaziomba kijanja
Kuna daktari wa diploma?Kwani Mkopo ulilazimishwa kukopa?
Pili watu wanaangalia posho zaidi sio hizo salary
Mwisho Daktari wa degree au Diploma?