Eddy da Rose Jr
JF-Expert Member
- Jun 1, 2023
- 244
- 244
Ishi huo Utumwa kwa mda afu jiondoe kajiaajiri uwe BOSS of certain Famous Private Hospital or something else.
utakuwa bado waishi kwa shemeji yakoKodi,umeme,maji,chakula havifiki laki nne
Labda research problem. Kama huyo diploma yuko field.Diploma aombwe research title na degree students? You can't be serious
I'm serious boss mmoja ni graduate tyr ardhi University degree ni karatasi tu boss what else would you like to hearDiploma aombwe research title na degree students? You can't be serious
DuuhKwa makadirio, mshahara wa daktari Serikalini basic ni 1,480,000
HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400
Unabaki na 849,020
Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi?
Kazi kweli kweliNa sisi tunaolipwa laki tatu kwa mwezi tusemaje?
Tanzania issue siyo madaktari, Watanzania wote tunaishi kama mateka, tatizo ni Ccm.
Hapo kuna mtu kaishia la saba ana chukuwa take home million 14 kwa mwezi kwa kazi ya kugonga meza tu bungeni.
Kodi kwenye nyumba nzuri,Umeme wa kutosha usiokatika,Chakula Balanced Diet kwa familia standard,Usafiri wa kwenda kazini wenye hadhi ya Dktari ili afike kwa wakti,atoe huduma akiwa relaxed na afurahie kazi yake Inahitajika angalau Milioni 2 Kisha Ndo aweke akiba.Kodi,umeme,maji,chakula havifiki laki nne
Uko wap mkuu connection muhimu ndgInategemea hiyo ajira, unalipwa ngapi, sasa Mimi napokea 7M net, kila mwezi, na save 5M, kwa miaka 15 nitakuwa na 900M! Kama ni utumwa Wacha niwe mtumwa tu!
Hata ukijiajiri, lazima Uwe mtumwa wa wateja.