Makato ya Mshahara kwa Daktari mpya Serikalini, bado tuna safari ndefu sana

Kwa makadirio, mshahara wa daktari Serikalini basic ni 1,480,000

HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400

Unabaki na 849,020

Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi?
Na sisi tunaolipwa laki tatu kwa mwezi tusemaje?

Tanzania issue siyo madaktari, Watanzania wote tunaishi kama mateka, tatizo ni Ccm.

Hapo kuna mtu kaishia la saba ana chukuwa take home million 14 kwa mwezi kwa kazi ya kugonga meza tu bungeni.
Ni kweli, tatizo kuu lililopo Tz ni CCM ambayo imesababisha nchi kukosa Mifumo Imara ya kuendesha nchi, badala yake nchi inaendeshwa na Makundi tu ya watu ambao kimsingi elimu yao ni ya wasiwasi.
Endapo kama nchi ingekuwa na Mifumo imara ya Kitaasisi za kuendesha nchi, BODI YA MISHAHARA ingekuwa na Mamlaka Kamili ya kufanya tafiti mbalimbali kuhusiana na viwango sahihi vya Mishahara inayopaswa kulipwa kwa wafanyakazi kwa kuzingatia sababu za kiutafiti, na siyo kukadiria tu viwango kama inavyofanyika hivi sasa hapa Tz.
 
Kwa makadirio, mshahara wa daktari Serikalini basic ni 1,480,000

HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400

Unabaki na 849,020

Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi?
Acha dharau na maisha wewe, watu tunapokea laki mbili tunaishi na familia vizuri tu wewe unapokea take home ya 850k+ unalia lia acheni kufuru kwa mwenyezi mungu natamani ningekuwa wewe.......
 
Yes, mshahara hauendani na muda wa kusoma. Hata hivyo, angalau kwa madaktari na manesi serikali imejitahidi si haba. Tatizo linakuja pale ambapo nurse wa diploma anamzidi mwalimu wa degree basic salary. Yaani mtu kaishia form 4, Tena passmark za chini. Kasoma 3 years deploma. Anamzidi mshahara mtu aliyesoma zaidi ya miaka 5. Kuna haja ya kupanga upya mishahara ya watumishi wa umma. Criteria za high risk na muda wa kusoma, si kigezo peke Cha kupanga salary. Yaani walimu wanaowafanya kuwa watumishi, tunawalipa mishahara ya chini, eti kwa kigezo Cha wingi wao! Mahitaji ya uwingi yanasababishwa na wanafunzi kuongezeka Kila mwaka. Hivyo tamisemi waangalie kuwa wanafunzi wengi pia ni high risk kwa mwl. Leo walimu wengi ni wagonjwa wa macho, vidonda vya tumbo, pressure n.k ambavyo vyote hivi wamepatia kazini.
Chuki chuki chuki. ulitaka Diploma afya walipwe kiasi gani ndio ufrahi by the way basic salary ya kozi za afya diploma ni TGHS B 740k na mwalimu ni 840k if not mistaken ukiwa unawasilisha hoja jaribu kuweka kando chuki uliyonayo dhidi ya watu wengine
 
Kwa makadirio, mshahara wa daktari Serikalini basic ni 1,480,000

HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400

Unabaki na 849,020

Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi?
Mm nadhani kuna haja na kila sababu
Za kuuondoa huu uchafu MadaraKani
Kinyume na hapo hiki kitabaki kuwa kilio cha vizazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa makadirio, mshahara wa daktari Serikalini basic ni 1,480,000

HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400

Unabaki na 849,020

Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi?
Mishahara ya madaktari haina uzito vile inapaswa kutokana na ugumu wa kazi yao
 
Na sisi tunaolipwa laki tatu kwa mwezi tusemaje?

Tanzania issue siyo madaktari, Watanzania wote tunaishi kama mateka, tatizo ni Ccm.

Hapo kuna mtu kaishia la saba ana chukuwa take home million 14 kwa mwezi kwa kazi ya kugonga meza tu bungeni.
Matola usihalalishe unyonyaji juu ya unyonyaji, huu ni utumwa maisha yapo juu sana ni lazima serikali iangalie mishahara kuakisi ugumu wa maisha
 
10]Leteni zaka kamili ghalani, ili kiwemo chakula katika nyumba yangu, mkanijaribu kwa njia hiyo, asema BWANA wa majeshi; mjue kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni, na kuwamwagieni baraka, hata isiwepo nafasi ya kutosha, au la.
[11]Nami kwa ajili yenu nitamkemea yeye alaye, wala hataharibu mazao ya ardhi yenu; wala mzabibu wenu hautapukutisha matunda yake kabla ya wakati wake katika mashamba, asema BWANA wa majeshi.
Katika mistari ya hovyo katika hekaya za kiyahudi huu ni miongoni mwao
 
Back
Top Bottom