Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 8,510
- 13,878
Kijana hicho kipato hapo juu ktk hali ya kawaida mbona kina muwezesha kuishi na kupata mahitaji yale muhimu vizuri tuu
800k ndogo sana. Hasa kwa huu mfumuko wa bei. Labda kama kuna posho wanapata huko ofisini.