HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,598
- 95,156
Usiseme hivyo banaAjira ni utumwa.Ndio maana mnaitwa watumishi
Usiseme hivyo banaAjira ni utumwa.Ndio maana mnaitwa watumishi
Degree huanza na huoKwani Mkopo ulilazimishwa kukopa?
Pili watu wanaangalia posho zaidi sio hizo salary
Mwisho Daktari wa degree au Diploma?
Umbali huo mtu wa Dar analipa nauli 700Na bei ya nauli kwa Bodaboda kufuata huduma ni shilling 10,000/=
Anayetoka Kindamba au Paradise au migodini kwenda center kariakoo ya Ruanda wote nauli ni hiyo 10,000/=
Kuna sehemu zina maisha ya kipuuzi sana.
Huwa nashangaa sana kijana under 35 anaisapoti CCMHii nchi hii ina pesa balaa tatizo la nchi hii nayo ina mchwa balaa.
Wenye jukumu la kuwaangamiza mchwa hao nao wamejiunga nao hao mchwa.
We naye kaingie uone kama rahisiKuna mtu anaingia bungeni anasinzia tu, akishtuka anagonga gonga meza kikao kikiisha anapokea posho, jioni unamkuta rainbow au bambalaga, then mwisho wa mwezi anakunja mara 10 ya hicho kipato. Amaa kweli dunia uwanja wa fujo
Na watu wanaishi vizuri tuHapo serikalini ulipo Kuna ...
Masijala wanapokea 300k
Mwanasheria 700k
Mwalimu 400k
Wewe 800k UNALIA?
#YNWA
Mbona una hasira hivyoNdio maana una masters na bado unatumwa na wenye diploma!
Una akili za kipumbavu! Na umekoment upumbavu!
Full stop!
Sadaka ni shukuraniYani Mungu aweze kuumba mbingu na dunia, halafu amuumbe binadamu, then Mungu aombe pesa kwa binadamu? Na hizi pesa si ni Man made? Ukitumia common sense huoni hapo dini zote ni Utapeli mtupu?
Hivi vitabu kuna verse watu wameingiza project zao binafsi siyo kweli, Mungu hawezi kumtegemea binadamu wakati ana uwezo wa kusema iwe na ikawa.
Sawa mwalimu tumekusoma na kukuelewa kutokea Ziwa TanganyikaMwalimu wa Daraja E anapata basic salary ya 990k
Take home ni karibu 790k
Anachochukua kwenye ATM ni siri yake
Maisha ni akili
Wengine kwa hiyo hiyo,pamoja na akili ya mtaani anaishi maisha mazuri ila wengine njaa tupu
Muongo, wewe kodi unaiongelea kwenye Corporate Tax unasahau PAYE,SDL, etcHalafu jaribu kupitia mahali mtu amefungua Hospital yake,biashara kubwa tu kaangalie kodi anayolipa kwa mwaka mzima hata laki moja haifiki
Tatizo sio CCM, tatizo ni umasikini na kutojitambua kwa wananchi.Kwahiyo unahisi ccm wakitoka ndiyo mishahara itapanda
Kuna nchi haikati kodi mishahara?mzee raia tukiweka salary slip hapa mbona utakimbia
Imagine: 10% NSSF , 15% HESLB, arround 20.% PAYE, :
Chap tu 45% ya mshahara si yako.
Watu hawagombei daladala kama zamaniRaha ya mshahara huo uishi kijijini ila Dar lazima uwe na mwili kugombania seat kweny daladala na mwendokasi.
La sivyo hamna kitu utasave zaidi ya kuvaa koti jeupe kama muuza bucha.
Vijiji asilimia 90Kuna vijiji maisha ni ghali kuliko huko Dar
Kama rahisi we naye kakwepe uoneUnakuta kuna mfanyabiashara anaingiza zaidi ya mil 4 kwa mwezi anakwepa kodi hakatwi kodi
Una uhakika wote wanapata hizo ulizoandika?Umejumlisha posho za overtime, semina, warsha, safari, mafunzo na dili za hapa na pale?
Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
How do you define moving on?Nje ya mada; Mbona kama huja move on...?
Hapo serikalini ulipo Kuna ...
Masijala wanapokea 300k
Mwanasheria 700k
Mwalimu 400k
Wewe 800k UNALIA?
#YNWA
Upo sahihi ila hao la saba hawafiki hata 500 kati ya watanzania zaidi ya milioni 60.