Ha ha imebidi nicheke. na kelele zote hizi haya ndio kayafanya. Kukomesha rushwa how , nidhamu makazini unaweza kuniambia how, airport mwanza na Dar pamoja na flyovers ni on going projects alizikuta. Alichofanya yeye ni kununua bombardier used 2 ,kujenga hostels ya wanafunzi na kupanua hicho kipande cha barabara ya moroko.
Nyingine tunasikia kila siku ni mikwara , vitisho na ubabe ,kabaki kusema fanyeni kazi. Tutaona hiyo 2020. Hajaanza hata km 50 ya lami toka aingie ikulu
Baadhi ya miradi ya barabara anazindua iliyoachwa na mtangulizi wake mfano barabara ya Kondoa-babati
 
Kituo cha mabasi cha Msavu tayari kashakizindua pamoja na daraja la Kilombero
 
mwanzoni akiomba kura alisema atawaenzi wafanyakazi lakini baada ya kupata imekuwa kilio kwa wafanyakazi !
 
Milioni 50 kwa kila kijiji vipi??
ilikuwa siasa tu ndugu kuomba kura. Lakini pia tukumbuke kuongoza serikali si mchezo kila kitu unaangaliwa wewe tu na unategemea kodi huna pesa mfukoni. ni uvumilivu tu sijui mwaka 2020 ataeleza nini wananchi
 
Ndani ya miaka 2 unusu tu, WATU WAMEUAWA, WENGINE HAWAJULIKANI WALIPO, WENGINE WAMEPIGWA RISASI HADHARANI WAMELAZWA MPAKA LEO, WENGINE WAKO JELA, WENGINE WAMETOLEWA BASTOLA HADHARANI, NA WENGINE WANAENDELEA KUPOKEA VITISHO ( TERROR) MPAKA SASA
 
ilikuwa siasa tu ndugu kuomba kura. Lakini pia tukumbuke kuongoza serikali si mchezo kila kitu unaangaliwa wewe tu na unategemea kodi huna pesa mfukoni. ni uvumilivu tu sijui mwaka 2020 ataeleza nini wananchi
Ni kweli ni wanasiasa wachache sana unaweza kuwaamini lakini na ni baada ya kutekeleza alichosema. Kwa hali ilivyo sasa hivi wafanyabiashara wapo wamefunga biashara lakini watumishi ambao ni walipa kodi nao mishahara haijapanda toka 2015, Kwa hiyo ni lazima makusanyo ya kodi yashuke
 
Je mahitaji Halisi ya mtanzania ni yapi kati Yale tunayoita mafanikio ya serikali
 
10102ac521314716b0cdeb7f1e57ec04.jpg


Wanajukwaa poleni na misukosuko ya kujibadili kutoka kuwa walaji wa Mwisho kuelekea nchi ya Viwanda.

Uwanja huu ni maalumu kama ule wa Safari za nje za Jakaya kikwete ila huu ni mahususi kukusanya mambo mazuri ya Awamu ya tano chini ya Rais Magufuli juu ya maendeleo yetu hasahasa kauli yake kuu Juu ya Nchi ya Viwanda na Elimu Bure nk.

Unaruhusiwa kugusia miundo mbinu, Afya, Usafiri, Maendeleo ya Majeshi Yetu, Uvuvi,Michezo, Habari, Siasa, Viwanda,Teknolojia, Pato la Taifa nk.
Ila tu iwe kwa tulipotoka na Alipofanikiwa na nini tufanye kumsaidia kujiongeza zaidi.

Mpaka sasa kafanya haya;

Hostel za Chuo cha UDSM.
Hostel za Askari Magereza.
Ununuzi wa Ndege 2 (Nyingine 3 ziko mbioni kuja).
Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo
Upanuzi wa Airport Mwanza
Upanuzi barabara ya Moroco Dsm
Upanuzi wa Kisasa Airport Dar
Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
------------

Na haya ameanza tarehe 12/4/2017;

Uzinduzi ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme.
Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba

Kukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.

Barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.

Miradi Mikubwa ya Maji :

Uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima mpaka Tanga
Upanuzi wa JNIA ulianza kipindi cha JK! Au umeandika kuanzia uwaziri?
 
Back
Top Bottom