oneflash
JF-Expert Member
- Oct 4, 2014
- 811
- 597
You just pipped me on that. This shit looks like a pig sty in the making!What's unique with this?
You just pipped me on that. This shit looks like a pig sty in the making!What's unique with this?
Just like that
Huyu kaguswa na serikali ya awamu ya 5 chini ya JPM, huduma za afya Tanzania ni classic.
Kwa bahati mbaya sikufahamu kwamba hii mada ipo Jukwaa la Kenya ambalo kwa kawaida I don't feel comfortable to talk shit of my country in a foreign forum... I can't wash my dirty linen in a public! So, kwa mada hii na mada nyingine yoyote sawa na hii ikiwa jukwaa hili, nita-assume mmeshinda in advance!Alienda hapa 👇👇👇 View attachment 1235716
Ongea tu mkuu, weka huyu praise team mahala pake! Hospitali ya Shinyanga hadi leo haijakamilika kujengwa na hilo hatajiKwa bahati mbaya sikufahamu kwamba hii mada ipo Jukwaa la Kenya ambalo kwa kawaida I don't feel comfortable to talk shit of my country in a foreign forum... I can't wash my dirty linen in a public! So, kwa mada hii na mada nyingine yoyote sawa na hii ikiwa jukwaa hili, nita-assume mmeshinda in advance!
komora096 unachekesha sana!
Umeeleza ukweli!Ha ha imebidi nicheke. na kelele zote hizi haya ndio kayafanya. Kukomesha rushwa how , nidhamu makazini unaweza kuniambia how, airport mwanza na Dar pamoja na flyovers ni on going projects alizikuta. Alichofanya yeye ni kununua bombardier used 2 ,kujenga hostels ya wanafunzi na kupanua hicho kipande cha barabara ya moroko.
Nyingine tunasikia kila siku ni mikwara , vitisho na ubabe ,kabaki kusema fanyeni kazi. Tutaona hiyo 2020. Hajaanza hata km 50 ya lami toka aingie ikulu
Hapana Mkuu, hawa akina REDEEMER. huwa napenda niwe nikutana nao kule Jukwaa la Siasa au kwingine, na sio hili jukwaa mlilojaa wapwa zetu kwa sababu najua, for the sake of my country, lazima nitaungana na wao tu na matokeo yake nitakuwa naongea nisichokiamini!!Ongea tu mkuu, weka huyu praise team mahala pake! Hospitali ya Shinyanga hadi leo haijakamilika kujengwa na hilo hataji
Mbona kwenye majukwaa yenu hawaji? Kazi kutunisha misuli pale "Kenyan News" 😂 ila nakuelewa. Amani iwe nawe Mkuu.Hapana Mkuu, hawa akina REDEEMER. huwa napenda niwe nikutana nao kule Jukwaa la Siasa au kwingine, na sio hili jukwaa mlilojaa wapwa zetu kwa sababu najua, for the sake of my country, lazima nitaungana na wao tu na matokeo yake nitakuwa naongea nisichokiamini!!
Hapo sawa mkuu nimekupataBima ya afya ya JPM ya 20k wewe pamoja na familia yako yote kwa mwaka mzima itakupatia hiyo huduma mmarekani kapatiwa kwa $86
Si wanajua ndugu kwa ndugu tunafahamiana weakness zetu... we know where to hit them hard!!Mbona kwenye majukwaa yenu hawaji? Kazi kutunisha misuli pale "Kenyan News" 😂 ila nakuelewa. Amani iwe nawe Mkuu.
haya tuma salamu kwa watu 70.Mfano juzi hapo nimepita bagamoyo saa kuminamoja alfajiri nilikuwa nina njaa ya sigara siku tano sijavuta, kupita maduka yapo wazi nikaongea na muuza duka ananiambia yeye huwa hafungi duka huwa wababadilishana masaa ya kulala wanauza wawili akaniambia wanaunga mkono juhudi za Magufuli
umesahau kuweka namba yako ya simu.
mzee gani??Tuwe waungwana tukiondoa mambo ya siasa,Mzee amebadilisha mitazamo ya watu wengi
Hii mada inatia kichefuchefu na kama uko safarini,usiisome.
Kumbuka mifuko ya plastic kwa sasa haipo,
Lini nilikuwa huko?Ulirudi lini kutoka USA mkuu