kennedy0000
JF-Expert Member
- Apr 14, 2012
- 4,316
- 3,683
Just like that
Huyu kaguswa na serikali ya awamu ya 5 chini ya JPM, huduma za afya Tanzania ni classic.
The guy was in Tanzania, ulikuwa unataka arudi marekani ndio akatibiwe?
๐ ๐ ๐
Bongolala kutafuta vijisifa.
Alafu najua alienda hospitali private, sio ya serikali.
Kama alienda ya serikali, alitibiwa haraka kwa sababu yeye ni mzungu.
Mnafaa mchunguze nini kilimfanya kutapika damu alipofika Tanzania. Ni cholera, typhoid, ebola?