Just like that
Huyu kaguswa na serikali ya awamu ya 5 chini ya JPM, huduma za afya Tanzania ni classic.


The guy was in Tanzania, ulikuwa unataka arudi marekani ndio akatibiwe?
๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
Bongolala kutafuta vijisifa.

Alafu najua alienda hospitali private, sio ya serikali.
Kama alienda ya serikali, alitibiwa haraka kwa sababu yeye ni mzungu.

Mnafaa mchunguze nini kilimfanya kutapika damu alipofika Tanzania. Ni cholera, typhoid, ebola?
 
So we have many doctors at work and standby reserve in case some corrupted jungle like Kenya is in crisis, they are free to act.

Sina time ya wresting with you about our contributions to your bellies because it's a wastage of time
What's the average salary of a medical doctor in Tz?
 
We kenge unajua watanzania wangapi wanaweza kuilipa hio $86?

Na hao wazungu ni viazi pia.

Wanajua sana urahisi wa kuipata hio $86 ukiwa hapa a dsm na ukiwa US
Bima ya afya ya JPM ya 20k wewe pamoja na familia yako yote kwa mwaka mzima itakupatia hiyo huduma mmarekani kapatiwa kwa $86
 
The guy was in Tanzania, ulikuwa unataka arudi marekani ndio akatibiwe?
๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
Bongolala kutafuta vijisifa.

Alafu najua alienda hospitali private, sio ya serikali.
Kama alienda ya serikali, alitibiwa haraka kwa sababu yeye ni mzungu.

Mnafaa mchunguze nini kilimfanya kutapika damu alipofika Tanzania. Ni cholera, typhoid, ebola?
Wewe mshamba kweli, Tanzania public hospitals are better than private, most modern medical facilities are in public hospitals
 
Huduma ipi unaongelea,fanya tafiti ya hospital tena usiende mbali chukua sample ya hospital tena za hapa Dar,anza na pale Mbagala uje na mrejesho,angalia treatment ya wagonjwa pale uje na mrejesho hapa
 
๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ Tembea ufungue macho. Utabaki ukidhani nyinyi ni first world, kumbe mko LDC namba moja.
Lol eti nitembee? Kenya? Nairobi hospitals hazina running water no tap water halafu ndio mjilinganishe na Tanzania?

Hii hospital inajengwa Mara lakini najua Nairobi hakuna Public Hospital yenye standards kama hii
 

Hii mada inachekesha, maana bajeti ya Tanzania inategemea misaada ya hawa wazungu ili kukidhi huduma za afya, hivyo ina maana wazungu watume misaada kisha waje kupigana vikumbo na wanaokusudiwa kunufaika kwa hiyo misaada, such an irony.
Ni kama umkute omba omba barabarani anahangaika akiomba, umpe hela kisha umfuate kitaani ukang'ang'anie chakula atakachonunua kutokana na vipesa vyako. Hiyo ni kukosa huruma, kwa hapa nawalaumu wazungu, wanafaa wafahamu Watanzania wanateseka sana, hizi huduma hawana za kutosha, ikumbukwe kuna madaktari wao wamesota kitaani hawana ajira, maana ndio nchi ya kwanza kusikia ina madaktari mitaani waliokua wanaotea kuja Kenya kushikilia nafasi ya hawa wetu waliokua wanagoma.
 
Huduma ipi unaongelea,fanya tafiti ya hospital tena usiende mbali chukua sample ya hospital tena za hapa Dar,anza na pale Mbagala uje na mrejesho,angalia treatment ya wagonjwa pale uje na mrejesho hapa
Mrejesho ulete wewe kutoka bavicha.
 
Lol eti nitembee? Kenya? Nairobi hospitals hazina running water no tap water halafu ndio mjilinganishe na Tanzania?

Hii hospital inajengwa Mara lakini najua Nairobi hakuna Public Hospital yenye standards kama hii


This is just a university hospital in Nairobi.

 
Lol eti nitembee? Kenya? Nairobi hospitals hazina running water no tap water halafu ndio mjilinganishe na Tanzania?

Hii hospital inajengwa Mara lakini najua Nairobi hakuna Public Hospital yenye standards kama hii

Nairobi hospitals??
Name ten of them
 
86 USD kwa mtanzania wa Kawaida kwa kipato chake ni asilimia ngapi ya mshahara wake ?, Unadhani ni sawa bei ya embe kijijini Tabora na kwenye Shop Corner iliyopo kwenye New York Suburb ?

Haya mambo yanakwenda na buying power people charge what people are able to pay.., cha maana mambo hawa inabidi kuwe na bei mbili (ukizingatia ni kodi zetu ndio zinalipia) ya wananchi ndogo na ya wageni iwe premium.., unless otherwise utapata watu wanao-abuse system kwa kuja kutembea ili kupata matibabu..
 
86 USD kwa mtanzania wa Kawaida kwa kipato chake ni asilimia ngapi ya mshahara wake ?, Unadhani ni sawa bei ya embe kijijini Tabora na kwenye Shop Corner iliyopo kwenye New York Suburb ?

Haya mambo yanakwenda na buying power people charge what people are able to pay.., cha maana mambo hawa inabidi kuwe na bei mbili (ukizingatia ni kodi zetu ndio zinalipia) ya wananchi ndogo na ya wageni iwe premium.., unless otherwise utapata watu wanao-abuse system kwa kuja kutembea ili kupata matibabu..
Unayo option ya Bima 20k wewe na familia yako mwaka mzima
 
Hii mada inachekesha, maana bajeti ya Tanzania inategemea misaada ya hawa wazungu ili kukidhi huduma za afya, hivyo ina maana wazungu watume misaada kisha waje kupigana vikumbo na wanaokusudiwa kunufaika kwa hiyo misaada, such an irony.
Ni kama umkute omba omba barabarani anahangaika akiomba, umpe hela kisha umfuate kitaani ukang'ang'anie chakula atakachonunua kutokana na vipesa vyako. Hiyo ni kukosa huruma, kwa hapa nawalaumu wazungu, wanafaa wafahamu Watanzania wanateseka sana, hizi huduma hawana za kutosha, ikumbukwe kuna madaktari wao wamesota kitaani hawana ajira, maana ndio nchi ya kwanza kusikia ina madaktari mitaani waliokua wanaotea kuja Kenya kushikilia nafasi ya hawa wetu waliokua wanagoma.
Huyu babu anapenda propaganda sana... Anadhania kuwa maisha Tanzania ni Bora kuliko Kenya๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Huyu babu anapenda propaganda sana... Anadhania kuwa maisha Tanzania ni Bora kuliko Kenya๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Am not even showcasing hospitals from our major cities, naleta hospitals zilizopo pembezoni kabisa lakini standards zake hapo Nairobi hamna

I showcased the hospital for Mara region
Now this for Songwe Region, quite unpopular but most modern
EGHTXN5WkAEAw0b.jpeg
EFT6Y8sXUAA1Cr-.jpeg
EGK4K_wXYAAIeE6.jpeg
EGK4K_0XoAELJI8.jpeg
EGK4K_4WsAA9DIR.jpeg
 
Lol nikuletee University hospitals kutoka wapi? Chagua... MUHAS? Bugando? UDOM? Arusha? Iringa? Zanzibar? Au wapi?

That's almost nothing compared to what we have here.

Life expectancy yenu inapelekana na ya Somalia.
Doctor to patient ratio yenu inapelekana na Burundi.

Tanzania, Uganda, Sudan... matajiri wote wenu wanakuja kutibiwa Nairobi.

Kwa matibabu na hospitali, hii ni ile tunaita landslide victory. Tanzania mkabishane na Mozambique.
 
Unayo option ya Bima 20k wewe na familia yako mwaka mzima
Nadhani haujanielewa kabisa 86USD kwa mtanzania katika issue ya afya kwa mambo yaliyofanyika sio ya kujivunia.., inaweza kuwa ndogo kwa America ila sio kwa Tanzania

Pili kwa Mtu wa nje kuja kutibiwa huku na kulipa pesa ambayo kwake ni ndogo ila udogo huo unafadhiliwa na wananchi sio jambo la kujivunia ni loophole ambayo inabidi izibwe... ili aweze kulipa premium
 
Life expectancy yenu inapelekana na ya Somalia.
Doctor to patient ratio yenu inapelekana na Burundi.

Tanzania, Uganda, Sudan... matajiri wote wenu wanakuja kutibiwa Nairobi.

Kwa matibabu na hospitali, hii ni ile tunaita landslide victory. Tanzania mkabishane na Mozambique.
Now this is Mtwara, one of the largest hospitals in the region is taking some shapes, the hospital is built on shoreside of Mtwara beaches, it expected to be simply out of the planet



EFuv7vjWkAIQlLX.jpeg
EFuv6jTW4AIyaPI.jpeg
EFxoIUJXoAM5YPG.jpeg
 
Back
Top Bottom