Jembebutu
Member
- Feb 14, 2017
- 88
- 225
Yeah. Ota Benga alitoka Congo kwenye familia ya pigmies(Wale watu wafupi) Alikuwa maarufu kwa ufupi wake, meno yake yalochongoka ilipelekea wazungu kusema anakula watu na walimwona kama si binadamu kamili kwa sura yake mbaya. Ota Benga alijiua kwenye cage akiwa na nyani.Duh, mwingine nakumbuka aliitwa Ota Benga, the Man in the Zoo 1906.
Huyu aliwekwa sehemu moja na nyani na walomtumia kama sehemu ya maonyesho katika mji wa New York city, Bronx Zoo