OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Na hapo kuna VVD na Gomez ๐๐๐๐Mpaka muda huu hajadaka hata mpira mmoja
Na hapo kuna VVD na Gomez ๐๐๐๐Mpaka muda huu hajadaka hata mpira mmoja
๐๐๐๐๐๐๐ bado umelala au umeamka na hangoverHuu msimu huu, mambo ni vice versa...
Nimalizie bia yangu nikalale ๐
...mfikishie kinywaji chakeKuna mtu ansjiita King ngwaba
We jamaa mnoko kinoma, unanikoti unataka kusoma kitu gani?๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก


twende polepole mkuu. Mbona hasira sana?Kweli naona mulishinda 7-8 ๐๐๐Magoli yanarudi haya
Kwa raha gani mlizonazo hadi mnalala na kukoroma hivi?![]()
Kweli naona mulishinda 7-8![]()
Mlikula 7 sio 6๐คฅ๐คฅ๐คฅ๐คฅtutalaumu kipa bure....... hii timu siku wakiamua kukuangusha wanakuangusha kweli kweli!
ngoja nilale tu, hapa tutakula 6 kama pundamilia tukikaa vibaya
Lakini wamekula saba๐๐๐๐๐Mkuu pamoja na kwamba wamekula 7 hii ndio timu iliyoshinda makombe yote muhimu na makubwa ngazi ya club.
Ni kweli tulishinda nane ๐๐๐๐๐ Klopp katupia hat trick mbili jana๐๐๐Tunashinda mkuu,tuwemakini tu Kwenye kufunga maana beki zao hazipo vizuri
Ci aliwapa super cup ..ni bonge la kipa uyo..๐คฅ๐คฅ๐คฅHivi kwanini tunakaaa bado na huyu Adrian?
Kuna jamaa wa Aseno nilikuwa nae jana tunakula popcorn huku tunahesabu goli zetu 7 ๐คฃ







Ni kweli tulishinda naneKlopp katupia hat trick mbili jana
![]()
Tulia ww sindano ikuingie isije ikakatikia ndanMkuu pamoja na kwamba wamekula 7 hii ndio timu iliyoshinda makombe yote muhimu na makubwa ngazi ya club.
Hao mpaka Corona iishe ndio wataanza kushinda,wamezoea kucheza na washabiki uwanjani bila washabiki mnajifungia tu mnavyotaka...Tulia ww sindano ikuingie isije ikakatikia ndan
Katimuliwa na nani?Jamaa wametoa GD ya 5 kila mmoja
Pundamilia United kafungwa 6 Ole akatimuliwa
Liver kafungwa 7 je Klopp atatimuliwa?
Huu mwaka unatuonesha mambo mapya.twende polepole mkuu. Mbona hasira sana?
Jamaa bila shaka kavurugika kisaikolojia,siyo yeye huyu!Goli 7 unasema wameshinda kwa taabu.visingizio havikosekani.wewe kubali kuwa mmefungwa kwa uhalali sio tena unaanza kusema mara hao kwa taabu