one by one
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 5,835
- 9,311
Inauma sana tena sana mimi kwa kiasi kikubwa namlaumu Gomez na Arnold, poor defending sisemi kama wachezaji wabaya ila kwa jana hapana na pia VVD hakusimama kama kiongozi wakati jahazi linazama. viuongo wametuangusha sana wamepoteza mipira mingi sehemu mbaya makosa makubwa huku kipa sitaki kusema maana wote tunajuwa msimu ukianza hatutegemei kama atacheza lakini ndio hivyo. sio kwamba tulizidiwa hapana ila makosa mengi sana wamefanya Villa waonekani kama Bayern. Kufungwa kunauma hata yule Maguire wa Man u baada ya mechi yetu kasahauliwa anaonekana mzuri tu .......



