Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hili tatizo la kufungwa bao nyingi lilionekana tangu msimu uliopita. Kabla ligi ijaanza nikatoa tahadhari.
Kwanza japo mulishinda dhid ya Chelsea lakini ubao ulisomeka
5-3 huh no udhaifu wa kwanza.
Kabla ya hapo Watford alikukalisha 3-1
Msimu umeanza Leeds akamkalisha allison bao 3 japo mulishinda 4.
Series imeendelea hadi sasa zimefika bao 7 per match ..hii ni dalili mbaya kwa club kama liverpool yenye mabeki waliobeba sifa za kutosha msimu uliopita na ni dalili njema kwetu sisi maana sasa tutakuwa na uhakika wa kujipigia bao kwanzia tano kuendelea. Bado tuna Everton, Wolves, 😎😎
Na hapo Adrian hakuwepo!
 
High line defense Hatuiwezi(beki na viungo kasi imepungua, nguvu zimepungua, inazidiwa akili kwenye kucheza offside trick, poor organization) lkn Klopp anakomaa nayo.

Game ya leeds ilitucost... Game ya Arsenal hawakutumia tu vizuri nafasi zao (Roy Keane akasema beki yetu ilikuwa floppy) Klopp akamzodoa sana.

Jana imetuaibisha- maana iliku ni pasi moja tu goli

Klopp anatakiwa atafakari upya huu mfumo na kununua kipa namba 2 anayeeleweka.
 
Mkuu tuheshimiane. Daima huwa naweka magoli ya ushindi kwa kila uzi husika sijawahi wawekea magoli mliyofungwa kule arsenal

Am Manchester United fan ila magoli ya jana ya spurs yote yapo uzi wa spurs. Villa hawana uzi serious humu siwezi choma MB zangu kukupa burudani mtu mmoja tu

Nimekuvunjia heshima wapi? WEWE NDIO UNAYENIVUNJIA HESHIMA KWĄ KUNIFOKEAa BILA SABABU YA MSINGI.
Aaaaa1aaaaaaaaaaaaaaqaaaaq1aaaaaqaaQ
 
Acha klopp nae ajifunze mbadala wa allison ni Adrian,anakomaa tu na kipa wake wa ajabu ajabu.acha leo aone alivo shati maana hua haamini

Hajajifunza, kamtetea
 

Attachments

  • IMG-20201005-WA0008.jpg
    IMG-20201005-WA0008.jpg
    53.5 KB · Views: 6
Leo mtambebesha lawama sana Goli kipa, lakini amini nakuambia hata kama angekuwepo Allison kipigo kingekuwa palepale. Timu inakosa ubunifu brother, tunacheza mpira wa taratibu Sana pasi zisizo na malengo, Wapambanaji wa timu wamebaki wawili tu Mane na Salah, wachezaji kama Wijnaldum na Firmino wapo uwanjani kujaza nafasi tu.Kwa namna hiyo tegemea kila mechi kwetu itakuwa ngumu.
Uwepo wa Gini kwenye starting lineup constantly ni uhujumu wa timu sababu tu Klopp anampenda sana Gini

Gini offers almost nothing, not tackles not assists not goals not midfield creativity



Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Jana ilikuwa ni mwendo wa.....🙄🙄🙄😀
 

Attachments

  • IMG-20201004-WA0050.jpg
    IMG-20201004-WA0050.jpg
    68.6 KB · Views: 5
Yani liverpool tuliongoza kila kitu kasoro magoli
 

Attachments

  • 2539775_1601841687557.png
    2539775_1601841687557.png
    17.6 KB · Views: 6

Similar Discussions

Back
Top Bottom